eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,780
- 16,454
wewe JMALI unategemea hao wapinzani wa kagame watongea nini? ahahahhahaa... eti untold story.....kweli mfa maji hakosi kutapatapa....hao jamaa watatunga chochote ili mradi wapate support ya internatonal community ya kuibana serikali ya kigali,lakini ndugu jmali nakwambia hawataweza watatumia international media,watatumia nchi jirani lakini hawataweza,kwani ukweli uko palepale genocide ilifanywa na wahutu wenye geonocide ideology na aliye uwawa ni mtusi.
sIKUPENDA NIJIBU MAANA SINA MASLAHI NA RWANDA WALA KAGAME.......Lkn ninachojua kwenye mauaji ya kimbali ya Rwanda ya mwaka 1994 waliouawa ni wote watusi, watwa na wahutu na wengine wengi..... msipotoshe ukweli SI WATUTSI Pekee ndiyo waliokufa.... kuna wengine wengi walikufa pia..... upotoshaji ndiyo ndiyo unafanya historia kujirudia ..... maana inaonesha kuwa jamii haijitambui hivyo mikasa yaweza jitokeza tena....