Finally: BBC speaks the truth

mzee wa sumuuuuuuuu, tema sumu tema sumu fastaaaaaa. mzee wa jenosaidiiiii tema sumu fasta fastaaaaaaaaa..... Ni sheedah

Ehehehhh… Jmali zasiku? Tokea nichukue likizo kwenye hili jukwaa naona misumu umeitapakaza kilakona tena wale uliowaambukiza wameamua kabisa kutoka pangoni , watakuawamekukubali kwa vyovyote, ukizingatia Mchambawima1 kaja na nguvu ya sodakukutoa misumu mwenyewe kamkubari Joka kuu, hongera! Ila kama nilivyo kuambiahuku kwenu (Rwanda) ni kazi tu yani kuchelewa kulala na kuamka mapena ishakuwajadi, hatuna mambo ya kijiweni, ila tukipata wakati tunawawahi kablahamjawamaliza ndugu zetu wabongo kutokana na uchunguzi wangu nimegundua kumbewengi unaowaloga hawajui hata computer, unakuta mtu aanakuuliza eti zile sumuzako wanazidownload vp? Yani nimekufa na cheko uwezi kuamini.
Ila kwa harakaharaka wacha nijaribu kuokoa wale wenyevijisumu na wewe ntarudi kwako baadae maana naona ushaharibu kabisa.
Kwanza ningependanianze na yule mama wa BBC! Hv hamumkumbuki kuwa ndiye yulena mwenzakewakimarekani ndio waliomfanya Bush na Tony blair waingieIraq au mambo huwa hamyawafitilii? Mwishowake mnayadandia kwa mbele, yule mamandiye aliyetuuzia sumu za Iraq eti wana Weapon of mass destruction, Wazee kuingiawakakuta patupu sema ndio hivyo maji hayazoleki, ila tena anabahati waingelezahawajali lakini yule wa kimarekani walimtia ndani kwa kuwauzia sumu ila huyukwa sababu hakuwekwa hospital kutemeshwa sumu zake sasa naona kaja na mpya yaRwanda! Kinachonishangaza huyu mama hamna kipya alicholeta Zaidi ya zile sumuambazo Jmali alikuwa anaziuza kupitia hapa Jamii Forum, tofauti ni kwamba yulemama ni fahari kwa kuuza sumu ndio maana Jmali na washirikina wenzako mmeona mumtumie.
Jinsi mamboyanavyoendelea inanikumbusha kipindi nilikuwa bado naishi bongo, vijana wengiwaliuwawa kwa kusingiziwa wizi, kipindi fulani kulikuwa na mchezo wa kukimbizawezi lakini ukifika mbele wakaona wenzako wameishiwa pumzi(kama kina Kayumba,Rudasingwa, Karegeya na wengineo wengi) ukabaki pekeyako au wachache basiwanakugeuzia ubao na kukuitia mwizi na hiyo ndio inakuwa siku yako ya mwishokupumua, haya nnayo yasema wabongo wakweli watanielewa namaanisha nini, au wale wazazi waliopoteza watoto wao kwakuuwawa njiani wakitoka Disco, mkae mkijua mwizi akipata upenyo anakugeuziaubao eti wewe ndio mwizi, kama kinaJmali na wenzake Kagame kawaandama wee akaona kilichobaki wacha nimuachie mungunijali maendeleo ya wananchi wangu waliosalia basi kinaJmali nao ndio hao nyumayake na visingizio kibao na kumpakazia walivyoacha wamefanya ila kagamemwanaume kadindisha achomwi mtu moto na mwizi atakimbilia mwenyewe Policekujiripoti.
Kama mnatakakujua ni watutsi wangapi waliouwawa kwenye Genocide basi msimuulize Jmali (Jokakuu) njooni huku kwetu kilasehemu ya ukumbusho kuna majina na picha za wilzo uwawa,kuhusu ndege hatujali ila aliyeitungua mungu ambaliki sana kwani Habyarimatulikuwa tunamuhesabu kwenye upande wa adui ambaye alitufanya tuwe wakimbizimiaka zaidi ya 30na kifo chake hakiwezi kujustify mauaji ya raia wasio na hatia,hivi Rwanda ni ya wanyarwanda wote kama utakubali kutemeshwa sumu kama hizo zaJmali na BBC basi karibu sana hutaki hiyo ni hiyari yako naubaki hukohuko
Sie huku kwetu movietushaiona na tunawasubiri kwa hamu sema muwaambie hao washirikina wenzenuwawape risasi za kutosha
 

kijana upo? PaKa wako hajambo? Salamu kwake
 
PaKa ni mashine ya kutoa roho za wahutu na wapinzani wake
 
kijana upo? PaKa wako hajambo? Salamu kwake
Salamu za kinafiki hazipendi hata kidogo! Eti we mngoni? Kwa hiyo Dareslaam we ni wakuja? Kwa hiyo sumu za Jmali zikiwakolea wazalamu wakakutimua bongo, utaongaeza tena kwenda Cinema au Disco za kuelewa au Songea siku hizi mambo safi? Nyie mnamchezea huyo Jmali majanga yake hamuyajui!
 
Sikujua hili!
Ss km wote wakimkomalia atavunja balozi ngapi? Nawaza kwa sauti!

Kagame ana matatizo Binafsi... na huyachanganya na kwenye Serikali yake pia akikuchukia basi nchi nzima nayo itakuchukia...
 
You are barely true! Actually, he does to any one who wants to harm Rwanda and Rwandans. He added that he will never be apologetic for that!
ni kweli kabisa, ametoa roho nyingi sana za wacongo, wamefikia zaidi ya milion tano....si mchezo.
 
Kagame ana matatizo Binafsi... na huyachanganya na kwenye Serikali yake pia akikuchukia basi nchi nzima nayo itakuchukia...

hana matatizo binafsi, ila anaupendo na nchi yake, anajiheshimu nahakuna mtu yeyote duniani ambaye anatekeleza alicho ahidi kama mheshimiwa Kagame! na isingekuwa Kagame hata kinajmali msingewasikia!
 
Mama Igambire si mtu wa visasi halafu unajua jeshi la Rwanda linamilikiwa na watutsi sidhani kama watakubali kumwachia nchi nasikia harufu ya vita nyingine.

Huyu mama hatamswiwe na shida nae, hivi wapowanamtoa zilesumu zake za ubaguzi, kasha pigwa nyundo zake kumi na tano 15yrs naaminiakitoka hospitalini kichwani atakuwa bikra kabisa naatakaribishwa vizuri kabisauraiani labda aje kujichanganya tena lakini kama dawa itakuwa imemkolea basihata uraisi anaweza kugombea na kuwa Raisi wa wanyarwanda wote
 
Mchambawima1 unajitahidi lakini, safi.

Aksante kwa kuliona hilo! Mbongo utamjua tu, ila hiyo mijokakama kinaJmali muiogope kama ukoma! Sio watu, huku wameharibu kwelikweliusiwaone hivyo tunaandamana na hizo chuki zao, tena hivi we si mngoni? basindio balaa akipata upenyo tu atasema we kwenu, South Africa upo hapo? Atanza kutungastory kwenye net sijui mlikuja kipindi kile anachojua mwenyewe ilimradi tuaharibu mambo! Huku kwetu hagusi ataishia kuchonga tu huko bongo na kamaanataka kweli kurudi home basi sharti lazime atemeshwe sumu zake za ubaguzi.
 
Would just to like to add something on that! Let’s say weall know that he shot the plane, does it justify the killing of innocent peoplebecause of their ethnic background?

 
Mbona hawa BBC ni kama wanataka kumpa lawama zote Kagame. Mimi kwa kiwango kidogo nilichofuatilia mambo ya Rwanda ninaamini Kagame anatumia mabavu sana kutawala. Yaani anatawala kwa mkono wa chuma lakini hii yote inatokana na ukweli kuwa asipofanya hivyo hachukui round anaondoka na akiondoka hao wahutu wakishika nchi itakuwaje???!! Kuna tatizo kubwa sana pale Rwanda suluhisho ni kuwaunganisha huku Bongo wawe kimkoa ndio watatulia.
 
....Rwanda is moving ahead for better wewe keep enjoying your stupid wishful thinking huku mkigongeana likes na revisionist/interahamwe wenzako,we have ICTR,courts all over the world,interpol etc to arrest and prosecute unaowatetea na wengi are guilty saving life... why not vice versa as you wish?hiyo documentary video full of stupid opinions wont change a thing so acha waste time yako na hizo nonsense video hata idioots like jmali can make one ,kama mna ujanja anzisheni mahakama to prosecute kina Kagame/RPF...mna comedy sana nyie.
 
Would just to like to add something on that! Let's say weall know that he shot the plane, does it justify the killing of innocent peoplebecause of their ethnic background?

Not at all, but he has hands on the RPF Revenge Killings against the Hutu, and the life of 5 Million Congolese Killed by his intervention in Congo and through his proxies
 
Mkuu,
wamechanganyikiwa. Yaani silaha yao sasa hivi ni moja tu. Ukiongea
wanasema wewe ni interahamwe, FDRL......
Ni kama mwanajeshi aliye vitani hajui adui yuko wapi, akisikia mlio wa
bunduki naye anapiga ovyo ovyo tu.

Hiyo silaha yao ya mwisho nayo ime-expire. Watafute plan B!
 
Not at all, but he has hands on the RPF Revenge Killings against the Hutu, and the life of 5 Million Congolese Killed by his intervention in Congo and through his proxies

No doubt with the size of your IQ! Call it revenge, defenseor whatever you like, what I know is; we passed it behind during the time ofwar, bear in mind whether you like or not RPF is the most disciplined army inworld
Defeating evil always cost us a lot as a matter of fact youshould start writing to The Hague because right now we are doing the same inCentral Republic of Africa! We never do anything to please anyone; evil is eviland should be treated as such! May be you should ask Congolese what happenedafter series of warning from Rwanda; Mobutu seemed to not care I guess now heis answering those victims in heaven or hell.
 

Precisely, this is the kind of mentality that people talk about, though it is mere a rhetoric, but again playing with words without giving a clear point will always sound hollow to those with a clear sense of facts. The World already know that Hutu refugees were ambushed by RPF in Congo and killed enmasse, the video footage is there, Kibeho killings are well documented. and five million people in Congo died due to Kagame and his other military conspirators systematic and deliberate distabilization of the country.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…