Yeye ndo mtabibu mkuu humu. Ninyi matabibu wadogowadogo mnataka kumfunika baba yenu.Acha kumusumbua faza wewe
Yeye ndo mtabibu mkuu humu. Ninyi matabibu wadogowadogo mnataka kumfunika baba yenu.
Wewe jamaa utakuwa na kampeni ya kutokomeza nyoka. Hebu jiulize WaTanzania 100,000 pekee wakitaka kuua nyoka ili kupata umaruufu kutabaki kitu kweli....Jamaa kanichosha ujue lakin nishamwambia mimi simo
Lakini ile haijasagwaInawezeka ikawa kweli!! Nahisi hata ile ya Babu wa Taifa ilishaua nyoka wengi sana
HahahahahahahahahahahahIle aliyotumia Ndugai kumtandika mgombea mpaka akazimia itakua dawa ya umarufu kuzidi ya nyoka maana imempa hadi u-spika.
HahahahahahahahahahaahaDadavua kaka maelezo zaidi yanahitajika hapo.Hiyo fimbo unaifanyaje sasa watu tuende Snake park tukawatie bakora nyoka wao.
HahahahahahahahahaUnajua wewe ndo umenifundisha hizi maada nisaidie kuwapa ka mfano watu hawa
OkPoa poa mkuu
Mganga hajigangi mkuu