Filikunjombe, Zitto waitumia PAC kuiimarisha CHAUMMA

Hiko CHAUMMA wataishia kugomania kuhusu kifungu cha ukomo wa uwenyekiti na chama chao wakati wa kutunga katiba, then kitakufa kabla hata hakijaanza.
 
Ugomvi wa Zitto na Chadema uko hapa:-

Filkunjombe Mbunge wa Ludewa,makam mwenyekiti wa kamati ya mashirika ya umma (PAC) amesema "vyama ambavyo vimekaguliwa na mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali na mashirika ya umma (CAG ) kuhusu Mapato na matumizi ya Ruzuku ni vinne tu CUF,CCM,TLP na NCCR Mageuzi"

Nimewatonya!






MSUKULE

Mwenzangu ni msukule!
Anawaza kimsukule!
Anaandika ili ale!
Watoto wasipige kelele!
Ma------ni ana chale!
Zilizomgeuza akili!
Anawaza kwa vidole!
Kamanda siwe mpole!

Kuna viwango vya misukule!
Hiki ndio cha kilele!
Shime shime ishimile!
Tuunusuru msukule!
 
mavi ni mavi tu! Hata ukiyapulizia manukato bado yataendelea kuwa mavi tu... Zitto hasafishiki kamwe... Dhambi ya usaliti ni mauti...kifo chake kisiasa hakiepukiki...

nimesoma kwenye gazeti la mawio kuwa magamba wanafikiria kumpokea kumpa ubunge wa kuteuliwa ,na kumpa uwaziri.zitto kuwa waziri?wameshasahau alichokuwa anakifanya cdm.
 
Mavi ni mavi tu! hata ukiyapulizia manukato bado yataendelea kuwa mavi tu... Zitto hasafishiki kamwe... dhambi ya usaliti ni mauti...kifo chake kisiasa hakiepukiki...

kwa sababu hakuwatonya ndio mnamwita mavi?
 
MSUKULE

Mwenzangu ni msukule!
Anawaza kimsukule!
Anaandika ili ale!
Watoto wasipige kelele!
Ma------ni ana chale!
Zilizomgeuza akili!
Anawaza kwa vidole!
Kamanda siwe mpole!

Kuna viwango vya misukule!
Hiki ndio cha kilele!
Shime shime ishimile!
Tuunusuru msukule!


Mbavu zanguu
Ha ha ha ha
 
nimesoma kwenye gazeti la mawio kuwa magamba wanafikiria kumpokea kumpa ubunge wa kuteuliwa ,na kumpa uwaziri.zitto kuwa waziri?wameshasahau alichokuwa anakifanya cdm.

Watakuja kumpoteza kisiasa!!
Kupata cheo ccm mchezo!!
Kama sio pesa uwe na ndugu mchezoni!!
Ubunge wa kuteuliwa ndo watamwondoa mchezoni!!
Atakuwa hana nguvu ya umma!!
Awe makini hakuna anaye lea wasaliti!!!
 
Inasikitisha kuona vijana mnashindwa kusoma post na kuchangia kwa hisia tu. PAC kama Kamati haijatamka popote kwenye ripoti yao km kuna vyama vilivyokataa kukaguliwa. Bali ni maneno ya mdomoni ya viongozi wa Kamati hiyo. Lakini kwenye ripoti iliyowasilishwa na Deo yaonesha kuwa Msajili hakutoa tangazo la kutaka mahesabu kwa kuwa CAG hakuwa tayari kukagua kwa kuwa hakuwa na financial resources. Na kamati imependekeza na kupokelewa na Bunge azimio la kupendekeza CAG aongezewe pesa ili aifanye kazi yake vizuri.

Muhimu: Acheni kuleta hisia. Mnaidhalilisha serikali kuwa inendelea kutoa pesa kwa vyama ingaa "havitaki" kukaguliwa. Ni maajabu na kuifanya serikali ni zembe na isiyo na uwezo wa kusimamia raslimali fedha za Umma. Na hivyo, unaaondolea uhalali wa kuendelea kutawala.

Unajua mkuu hawa watu wameamua makusudi kuichafua CDM.Na kusema kweli zzk alijua wazi kuwa atafanikiwa tu kuichafua kwa uongo ulioletwa kwa hila na kupokelewa na mazombi wasiofikiri waliojaa nchi hii.Jana nilikuwa nasikiliza local redio moja huku Kahama,baadhi ya watu wakitoa maoni yao,wanainyooshea mikono CDM kuwa haina uhalali wa kumbana PM kutokana na tuhuma za ufisadi tamisemi eti kwa vile wao(CDM)hawataki kukaguliwa kutokana na ufisadi huo huo!Kusema kweli ingawa bunge lilishindwa kutenga fedha za ukaguzi wa vyama,na CAG kushindwa kutimiza wajibu wake,bado wengi wa wananchi wameshindwa kuelewa ukweli kwa kutopenda kufikiri na wameamini uzushi wa zzk.Nina hasira sana na huyu zzk kwani ameanza kuutumia uzombi wa watanzania ili kutimiza nia yake ya kuua upinzani

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Watu wachache sana wanamfahamu filikunjombe .... He is not the kind of a person we all think he is .

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Hiv bavicha mliobaki baada ya kuondoka wale wa ZZK mbona wa hovyo? Yaani hamna hata mwenye uelewa. Kamamna akili finyu au wote ni wa Ndesaaaaaaaaaaaaa
 
Akihitimisha hoja ya Kamati ya Hesabu ya Fedha za Serikali Kuu (PAC), makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo mh.Deo Filikunjombe (Ludewa) aliyarudia madai ya Mh.Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini) ambaye ni Mwenyekiti wake wa kamati kuwa ni vyama vinne tu ndivyo vilivyoweza kukaguliwa na CAG. Alivitaja vyama hivyo kuwa ni CUF, CCM, NCCR na TLP. Aliendelea na kurusha 'dongo' kuwa vyama vingine vimekataa kukaguliwa. Pia, kwa njia ya kejeli iliyoonekana kuelekezwa CHADEMA, Filikunjombe aliionya CCM kuwa ingawa ni chama chake lkn wasimlaumu baadae kuwa "hukututonya" kuhusu ukaguzi ujao. Hapo alikuwa akikariri maneno ya Zitto kwa CHADEMA alipokituhumu chama hicho kumvua nyadhifa zake kwa "kutokuwatonya" viongozi wake (ingawa yeye mwenyewe Zitto alikuwa ni miongoni wa viongozi wakuu wa chama hicho na ni deputy accounting officer kichama akiwa ni naibu katibu mkuu).
.

Sasa ubaya wa ZITTO ni upi?Chama makini hakina muungozo wa mapato na matumizi?Ndio katibu mkuu anachukua million 40 bila ya maelezo,magari mabovu yanunuliwa,kamati ya tenda aijawi kukaa ingawaje wajumbe wapo,tenda zote ni Mbowe,lema,Antony Komu na Slaa,hadi ya maji ya kunywa kwenye vikao
 
Back
Top Bottom