File liitwalo "btsnoop-hci.log" kwenye simu uhusiana na nini?

Troublemaker

JF-Expert Member
Jun 8, 2015
19,882
38,512
Natumai mko vyema wanatech na mnaendelea kuchukua hatua stahiki kujikinga na COVID-19.

Iko hivi, kuna file mara nyingi nalikuta kwenye storage ya simu yangu chini kabisa, huwa linakuwa na mb mpaka 300+.

Kila nikilifuta baada ya siku kadhaa nalikuta tena. File lenyewe linaandikwa btsnoop-hci.log kila nikilifuta baada ya siku kadhaa nalikuta mara nyingi linakuwa na mb 80+,120+ hadi 300.

Cc Chief-Mkwawa na wengineo.
 
btsnoop is Androids Blue Tooth sniffer and the hci files are the logfiles.
In developer mode disable Bluetooth HCI snoop log and delete the hci files.
 
Natumai mko vyema wanatech na mnaendelea kuchukua hatua stahiki kujikinga na COVID-19.

Iko hivi, kuna file mara nyingi nalikuta kwenye storage ya simu yangu chini kabisa, huwa linakuwa na mb mpaka 300+
Kila nikilifuta baada ya siku kadhaa nalikuta tena. File lenyewe linaandikwa btsnoop-hci.log kila nikilifuta baada ya siku kadhaa nalikuta mara nyingi linakuwa na mb 80+,120+ hadi 300.

Cc Chief-Mkwawa na wengineo.
Umekuwa hacked tayari...!!
 
Hakutakuwa na madhara au utofauti flani katika device kwa kufanya hivyo.
hapana hiyo ina maana kwenye device yako ume allow logging ya data za bluetooth transmission unazozifanya kwenye simu...
mfano maybe juzi ulimtumia mtu music kwa bluetooth,then hiyo data ina jisave kuwa ulituma music....
au kuna application uli hiruhusu ku capture bluetooth packet
 
Natumai mko vyema wanatech na mnaendelea kuchukua hatua stahiki kujikinga na COVID-19.

Iko hivi, kuna file mara nyingi nalikuta kwenye storage ya simu yangu chini kabisa, huwa linakuwa na mb mpaka 300+
Kila nikilifuta baada ya siku kadhaa nalikuta tena. File lenyewe linaandikwa btsnoop-hci.log kila nikilifuta baada ya siku kadhaa nalikuta mara nyingi linakuwa na mb 80+,120+ hadi 300.

Cc Chief-Mkwawa na wengineo.
Mkuu log ni record ya events zinazotokea kwenye software fulani. Ila ni suspicious sana kwa log file kuwa kubwa hivyo maana mara nyingi log file ni text based, na text kufika mb 300 hata Msahafu ama Biblia sio mkubwa hivyo.

Kuna option ya kuweka on ama Off ya hilo file ipo kwenye developer setting jaribu kuiweka off uone kama litaondoka
 
Mkuu log ni record ya events zinazotokea kwenye software fulani. Ila ni suspicious sana kwa log file kuwa kubwa hivyo maana mara nyingi log file ni text based, na text kufika mb 300 hata Msahafu ama Biblia sio mkubwa hivyo.

Kuna option ya kuweka on ama Off ya hilo file ipo kwenye developer setting jaribu kuiweka off uone kama litaondoka
Pako off mkuu
Screenshot_20200402-193622.jpg


Sent using Tapatalk
 
Back
Top Bottom