Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,882
- 38,512
Natumai mko vyema wanatech na mnaendelea kuchukua hatua stahiki kujikinga na COVID-19.
Iko hivi, kuna file mara nyingi nalikuta kwenye storage ya simu yangu chini kabisa, huwa linakuwa na mb mpaka 300+.
Kila nikilifuta baada ya siku kadhaa nalikuta tena. File lenyewe linaandikwa btsnoop-hci.log kila nikilifuta baada ya siku kadhaa nalikuta mara nyingi linakuwa na mb 80+,120+ hadi 300.
Cc Chief-Mkwawa na wengineo.
Iko hivi, kuna file mara nyingi nalikuta kwenye storage ya simu yangu chini kabisa, huwa linakuwa na mb mpaka 300+.
Kila nikilifuta baada ya siku kadhaa nalikuta tena. File lenyewe linaandikwa btsnoop-hci.log kila nikilifuta baada ya siku kadhaa nalikuta mara nyingi linakuwa na mb 80+,120+ hadi 300.
Cc Chief-Mkwawa na wengineo.