ni kweli, lakini jaribu kutenganisha mambo si vyote uozo kha?Najiuliza kitu kipi kizuri Bongo,jibu hakuna.Ndio maana wakenya wanatuponda.Kama QM angekuwa mkenya ungeona watu jinsi mapovu yengewatoka.Bongo inakera hakuna zuri uozo mtupu.
Nawashauri Wacheza Filamu na Waandaji wa Kibongo waangalie Movie ya SLUMDOG MILLIONAIRE...
Jamani hao waigizaji wanafanya kazi kulingana na soko la Tz, na ufahamu wa wateja wao! Niwachache mnaoweza ona kasoro, lakini tulio wengi tunazifagilia ile mbaya....
Waigizaji wetu:
Walio wengi si wasanii katika uhalisia. Wema Sepetu, Joketi, Irene Uwoya, Lissa Jensen hawa ni ma-miss. Nadhani wangeendelea na ukanda wao. Kushirikishwa si mbaya lakini inaelekea wanaigeuza kuwa kawaida sasa
Ngono:
Bongo msanii hachezi movie (hasa wa kike) bila kutoa rushwa ya ngono. Mabinti wengi wanaonekena kuigiza sababu ya njaa zao na wengine wanaigiza ili kuuza sura wapate mabwana wenye fedha.
Nina mifano michache:
Ray (Vincent Kigosi) anaishi na Johari. Huyuhuyu Ray alishawahi kuwa na mahusiano na Mainda (na huyu Mainda alikuwa anatembea na marehemu Max ambaye aliondoka na ngoma), Dotnata, jimama moja la Ilala na wengine lukuki.
Ray huyu anajifanya hana Baba wakati babake ni mzee Kigosi na anaishi Dodoma. Namshauri akamsalimie babake na amwombe radhi kwa kumkosea heshima. Wewe ni Mgogo na uache kuwadanganya watanzania kuwa wewe ni Mhehe.
Kanumba alikuwa na mahusiano na wafuatao; Wema Sepetu, Lilian Internet (wa Twanga Pepeta) na wengine lukuki.
Nora; huyu alipofariki Ngwizukulu akahamia kwa jamaa ambaye baadae mambo yalienda vibaya kwani alijikuta anapigwa picha za uchi na kupata kichaa cha mapenzi. Kwa sasa amejipoza kwa Tito (Carlos).
Lona; huyu alikuwa anatembea na Kelvin, baadae akahamia kwa Cheni sijui kwa sasa yupo na nani lakini nitamfuatilia.
Maya; huyu kwa sasa anaishi na Swebe.
Colleta huyu ana wezere kubwa nasikia alipigwa mtungo na sasa kapata bwana ambaye kaamua kumsomesha.
Maina; huyu alitembea na Chrisant Mhenga (walifanyia mambo haya machafu pale Tip Top), Cheni, Richie Mtambalike, JB, Tino (Hisani), akaolewa na sasa katemwa kutokana na tabia yake chafu.
Dida wa Michopsi, huyu kwa sasa yupo Times FM kama mtangazaji wa mipasho. Huyu ameingilia ndoa ya watu na ni mke wa tatu kwa jamaa. Aliingia kwenye maigizo kwa lengo la kupata bwana tu ili mradi apate fweza.
Cathy (alikuwa Mambo Hayo), huyu kaacha mme wake kaamua kuanza kutembea nje ya ndoa na Dinno.
Sajuki na Deborah hao sisemi.
Nimewagusia wachache tu, twende nyanja nyingine
...Yoyo, si kweli kuwa bongo hakuna kitu kizuri alichosema QM ni mtazamo wake kwa jinsi jicho lake lilivyoona hizo filamu. Tnapofanya kitu lazima watu wakubali kukosolewa ndio njia ya kujenga hatimaye kupata kitu kizuri..Hata hao wenye vitu vizuri sidhani kama siku walipoanza kutengeneza tu vilikuwa vizuri, No waliviboresha kadri watu walivyoshauri. Unaweza kuamini mvumbuzi wa gari alipanga liende mbele lakini akajikuta limegoma badala yake likarudi nyuma? Unadhani asingeshauriwa hatimaye kuboresha tungekuwa wapi sasa???
watanzania lazima tukubali kujifunza na kukubali kukosolewa ndio mchakato wa mafanikio unavyokwenda ndugu!!!
Waigizaji wetu:
Walio wengi si wasanii katika uhalisia. Wema Sepetu, Joketi, Irene Uwoya, Lissa Jensen hawa ni ma-miss. Nadhani wangeendelea na ukanda wao. Kushirikishwa si mbaya lakini inaelekea wanaigeuza kuwa kawaida sasa
Ngono:
Bongo msanii hachezi movie (hasa wa kike) bila kutoa rushwa ya ngono. Mabinti wengi wanaonekena kuigiza sababu ya njaa zao na wengine wanaigiza ili kuuza sura wapate mabwana wenye fedha.
Nina mifano michache:
Ray (Vincent Kigosi) anaishi na Johari. Huyuhuyu Ray alishawahi kuwa na mahusiano na Mainda (na huyu Mainda alikuwa anatembea na marehemu Max ambaye aliondoka na ngoma), Dotnata, jimama moja la Ilala na wengine lukuki.
Ray huyu anajifanya hana Baba wakati babake ni mzee Kigosi na anaishi Dodoma. Namshauri akamsalimie babake na amwombe radhi kwa kumkosea heshima. Wewe ni Mgogo na uache kuwadanganya watanzania kuwa wewe ni Mhehe.
Kanumba alikuwa na mahusiano na wafuatao; Wema Sepetu, Lilian Internet (wa Twanga Pepeta) na wengine lukuki.
Nora; huyu alipofariki Ngwizukulu akahamia kwa jamaa ambaye baadae mambo yalienda vibaya kwani alijikuta anapigwa picha za uchi na kupata kichaa cha mapenzi. Kwa sasa amejipoza kwa Tito (Carlos).
Lona; huyu alikuwa anatembea na Kelvin, baadae akahamia kwa Cheni sijui kwa sasa yupo na nani lakini nitamfuatilia.
Maya; huyu kwa sasa anaishi na Swebe.
Colleta huyu ana wezere kubwa nasikia alipigwa mtungo na sasa kapata bwana ambaye kaamua kumsomesha.
Maina; huyu alitembea na Chrisant Mhenga (walifanyia mambo haya machafu pale Tip Top), Cheni, Richie Mtambalike, JB, Tino (Hisani), akaolewa na sasa katemwa kutokana na tabia yake chafu.
Dida wa Michopsi, huyu kwa sasa yupo Times FM kama mtangazaji wa mipasho. Huyu ameingilia ndoa ya watu na ni mke wa tatu kwa jamaa. Aliingia kwenye maigizo kwa lengo la kupata bwana tu ili mradi apate fweza.
Cathy (alikuwa Mambo Hayo), huyu kaacha mme wake kaamua kuanza kutembea nje ya ndoa na Dinno.
Sajuki na Deborah hao sisemi.
Nimewagusia wachache tu, twende nyanja nyingine