Tatizo kubwa la wasanii wetu wakishaambiwa kwamba wana vipaji wanakuwa na imani kwamba vipaji vyao vitafafanya kila kitu kitu ambacho kwa akili ya kawaida tu hakiwezekani. Ki msingi wanatakiwa wawe na washauri (mameneja ambao watawashauri ki taaluma na kimasoko kwamba kipi ni sahihi kufanyika na wakati gani.Ulimbukeni wa kutupwa...Wanadahani kwa kufanya hivyo watauza zaidi, na kuonekana wajuvi wa mambo!
Toa mifano ya filamu hizo.
Wala hakuna haja ya mifano,ni kitu ambacho kiko dhahiri...Karibu kila filamu ya Kibongo ina jina la Kiingereza...Karibu 90% kama sio 95% ya filamu za Kibongo zina majina ya Kiingereza..Ni ulimbukeni tu na kutokujiamini pamoja na kukalia kuiga filamu za wapopo(WaNigeria) kunakofanywa na waigizaji na Wazalishaji wa Kibongo ndo kuapelekea kuwpo kwa upuuzi huu...Jamaa wanakandamiza9wanaiga) sana kwa waNigeria....Mpaka inakera na kutia kinyaaToa mifano ya filamu hizo.
wanachofanya ni maigizo, ila kwa sababu soko lao ni la uswazi wacha wawe macelebrity
Toa mifano ya filamu hizo.
Mkuu acha masihara.Toa mifano ya filamu hizo.
Toa mifano ya filamu hizo.
Wadau, soko la filamu linakuwa kila siku hapa nyumbani. Lakini je, kuna ulazima wa watengeneza filamu hizi kuziita majina ya Kiingereza ili hali ndani wanazungumza kiswahili mwanzo mpaka mwiso?
Ukiangalia hizo sub-titles ndio utazimia kabisa!