Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Mkuu acha masihara.
Zaidi ya asilimia 90 ya filamu za kibongo ni majina ya kizungu.
Sio filamu tu.Karibu kila kitu tunapenda majina hayo.Kwa mfano kwa sasa kuna wimbi la kuanzishwa makanisa.Na mengi yana majina ua kizungu( power of god,miracles church,victory,holliness n.k)Lakini ibada zao zote ni za kiswahili na usikute hata waumini wanaojua English labda wapo 2 tu.Hivyo hii ni kasumba tu ya sisi watanzania kwa vile tumeibukia sana kiingereza na maneno mengi pia tunayatumia moja kwa moja bila kujali pronunciation.