Fikra kuhusu watu wakimya

Kwel mkuu
 
Mulemule yaani
 
umewahi kushuhudia wakiua??
 
vipi bado mkimya hadi leo?
 
Tufafanulie kidogo utofauti ni upi?
Ukiwa ni hali tu ya kutokuwa muongeaj, wala maneno mengi. Unaweza kaaa na mtu hata usipige soga nyiingi, lakini endapo mtu au jambo likakuudhi reaction yake ni hatari. Kuna wengine unakuta hata kusamehe jambo au kuliacha au kusahau ni ishu lazima afanye kitu

Lakin kuna mtu ni mpole, lakina ni mtu wa watu, story. Sasa upole unaonekana jinsi anavyo yakabili mambo, mwitikio yake katk kukasilishwa n. K
 
Ukimya unaweza kuwa tabia ya asiri tu,lakini wakimya wengi ni watu ambao hawana cha kuongea au hawajiamini kama wanacho kitu sahihi cha kuongea kwahyo kuepusha kuonekana wa hovyo huchagua kukaa kimya,atleast wana busara ya kujua udhaifu wao na kuchagua kuuficha kwa kukaa kimya kuliko walopokaji ambao hawajui kwamba hawajui
 
Hiyo namba 7 uongo kaka hapo inategemea na mtu mwenyewe
 
Hii ndo inaitwa Reasoning Capacity,wana uwezo mkubwa wa kuchanganua maneno kabla ya kuyaongea kitu ambacho wengi hatuna na kuwa waropokaji..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…