Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,482
- 40,001
Watanzania hawakupewa sababu ya kufanya kosa hilo. Walizinduka!
Mungu mkubwa JK kaondoka,watu walisherekea JK kuondoka.Namfananisha na mfalme fulani kwenye hadithi fulani.Kuhusu lowassa daima ataishi kwenye mioyo ya watanzania wengi
Kwa kumuibia nani?Lowasa angekuwa rais vijana wote wasio na kazi wangelipwa mishahara kila mwezi
Watanzania hawakupewa sababu ya kufanya kosa hilo. Walizinduka!
Sio kweli
Tanzania ingekuwa kama Marekani,, umasikini ungebaki historia
vitu vingine mnavyopost humu mnatakiwa muwe mnatumia akili,naona mnaandika kwa kutumia makalio kufikiria,lowasa ni rais wa mioyo ya watanzania,alichaguliwa kwa asilimia 62,kama haujui,kwahiyo funga mdomo wako kama haujui chochote,na ujifikirie wewe mwenyewe na familia yako
Hivi mpaka leo hujui kuwa CCM inafanyia kazi mawazo na sera za upinzani?
Hivi mpaka leo hujui kuwa CCM inafanyia kazi mawazo na sera za upinzani?
Sema kama sio kuchakachua matokeo..