SaidSabke
JF-Expert Member
- Sep 28, 2006
- 2,071
- 402
Kwa Lowasa hiki anachofanya Magu ni cha mtoto. Tungelishuhudia mabadiliko ya kasi tena bila kutumia magufu kama anavyofanya Magu. Halafu lazma kuwa systematic, siyo kila kukicha unatoa jambo jipya bila kufanya analysis ya lile la jana ni kwa kiasi gani umefikia au kukaribia lengo.
Barabara zote zingekuwa zinapigwa deki kila mwananchi angskuwa na simu ya mkononi.vijana wote wanywa viroba wangekuwa na bajaji.haaa lowasa team inachekesha sana na hasa ukawa