Figisu zaanza TFF , Oscar Oscar adai kupewa taarifa kwamba kakatwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,701
218,225
Hii ndio taarifa aliyoisambaza kwenye vyombo vya habari , anadai amepokea Email kutoka Kamati ya Uchaguzi kwamba Amekatwa.

Ameahidi kutoa ufafanuzi zaidi baadaye kidogo
 
Sasa yeye kwa akili zake alijua atapita😂😂

Anaanza kuomba huruma kwetu kwani tulimtuma😀😀😀😀😀
 
Kwani kukata mtu ni figisu jamani si kuna vigezo vipo ndio wanatumia kukata watu, labda aseme kama hamna kigezo amekosea na amekatwa hapo ntakubali ni figisu
 
Shafii dauda alimuonya hakuskia cha Moto amekipata Ila kama ni kiki amepata amekipata maana kwa sasa yeye ndo anaongelewa karbu media zote
 
Piga kazi karia
Twende karia
Kumba kumba karia
Mingine tena karia
Haters we gone kill them karia
...................... .
 
Alikuwa na wenge yule, kama hakuona ushauri aliopewa humu wacha yamkute ajifunze siku nyingine.
 
Back
Top Bottom