cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Waislam waliposema mpira haram mliwaona wajinga na walopitwa na wakati sasa kuleni chuma hioHebu acheni unafiki. Yule mama wa Kisimkazi ni mwanachama, mbona unakimbilia kuchokonoa vya mbali wakati vya karibu unaacha?