Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,253
- 2,982
Trump world cup ✅
FIFA world cup ❎
FIFA world cup ❎
Trump akikutingisha ukalegea hua ana taka advantage ya udhaifu. Am sure 100% Fifa wangekomaa na msimamo wao Trump asingefanya chochote.Trump hataki watolewe...😹😹
View attachment 3623813
Lkn Kwann fifa afanye Kwa intimidation ya USALakini FIFA wametumia kifungu cha sheria na wamequote kwenye taarifa yao, ila Trump mbabe sana, eti hakujua kama redcard inamfanya mchezaji asicheze mechi inayofata....jamaa comedian sana
Msaada!?.. hawawezi toa bila kupata kitu, labda huo unaoita msaada ni kijisehem kidogo cha faida wanazopata kwa kutunyonyaHizo dollar zao za misaada zinabadilishwa kuwa shillingi ndio mnazogaiwa hapo lumumba buku 7,7 za uchawa.
Kama ni hivyo huoni kuwa CCM ndio tatizo?Msaada!?.. hawawezi toa bila kupata kitu, labda huo unaoita msaada ni kijisehem kidogo cha faida wanazopata kwa kutunyonya
Upeo wako umeishia pale pua inapotazamaKama ni hivyo huoni kuwa CCM ndio tatizo?
Ukiwa cha samia huwezi kuwa na akili.Upeo wako umeishia pale pua inapotazama
Upeo wako mkia wa mbuziUkiwa cha samia huwezi kuwa na akili.
Naomba marekani atolewe na ubelgili. Hii rushwa ya wazi kabisa