FIFA Confederations Cup Brazil 2013

FIFA Confederations Cup Brazil 2013

dah hii mechi inaniuma roho hatari,usiku hivi?
 
EMT,
Unaona Brazil wanavyocheza sasa hivi hakuna dividing. Magoli yakirudishwa utaona dividing kila dakika
 
Spain inabidi waache mpira wa pasi nyingi...Toress pia anaonekana hana madhara..hope kipind cha pili watabadilika na kirudisha magoli yote mawili plus la ushindi
 
Spain inabidi waache mpira wa pasi nyingi...Toress pia anaonekana hana madhara..hope kipind cha pili watabadilika na kirudisha magoli yote mawili plus la ushindi
Wakaicha pasi nyingi wanapita kiulaini sana beki ya brazil siyo nzuri
 
3 down 1 man out. It's over the empire has crumbled
 
Spain leo kama wamelewa ulanzi

Ni Argentina, Mexico au German ndio wanaweza kuwazuia Brazil 2014.
 
EMT thanx for this useful thread...
Naona atlast tumeoma Brazil wakitetea kombe lao na Spain kishindwa kuweka rekodi ya kubeba makombe yote makubwa duniani.

Tukutane tena Brazil next year in the same forum panapo majaaliwa.
 
Last edited by a moderator:
uyu buffon dawa yake spain


Huyo hana dawa.
Huyo ni kipa kweli kweli...
Kama humjui nenda kafuatilie historia yake.
Kuna kipa alikuwa anadakia Juve akiitwa Edwin Van De Saar, aliposikia Buffon anatoka Parma kwenda Juve yaani hakumuaga hata katibu Tarafa au hata Mtendaji wa kata...yeye alitimkia Fulham na mizigo yake ikatumwa baada ya wiki moja mbele...
Chezea Buffon wewe?
 
Huyo hana dawa.
Huyo ni kipa kweli kweli...
Kama humjui nenda kafuatilie historia yake.
Kuna kipa alikuwa anadakia Juve akiitwa Edwin Van De Saar, aliposikia Buffon anatoka Parma kwenda Juve yaani hakumuaga hata katibu Tarafa au hata Mtendaji wa kata...yeye alitimkia Fulham na mizigo yake ikatumwa baada ya wiki moja mbele...
Chezea Buffon wewe?

duu ebanaee...
 
EMT thanx for this useful thread...
Naona atlast tumeoma Brazil wakitetea kombe lao na Spain kishindwa kuweka rekodi ya kubeba makombe yote makubwa duniani.

Tukutane tena Brazil next year in the same forum panapo majaaliwa.

na inavoonekana mwakani anaweza kutoka kwenye makundi tu hata ajastuka kwanini walisumbuliwa na italy ambayo waliifunga nne kombe la dunia..
 
Last edited by a moderator:
Mabingwa wa soka duniani,ulaya namba 1 ya soka duniani kwa sasa Spain leo au j3 TZ wanajitupa estadio Maracana vs timu inayojivunia historia na uenyeji tu Brazil ktk final ya kombe la mabara leo,ikiwa na wachezaji na kocha wasio na rekodi ya kupoteza mechi ktk final eg Casillas,Torres,Iniesta,Xavi,Busquets,Pique na kocha Del Bosque nawapa 98% kubeba kombe leo huku Brazil nikiwapa 2% tena 7bu ya uenyeji,1st eleven wengi wa Brazil ni sawa na 2nd eleven ya Spain kiuwezo,eg Oscar(1st eleven Brazil) ni sawa na Mata(2nd eleven Spain),Gustavo ni sawa na Martinez,Marcelo ni sawa na Nacho Monreal,Julio Cesar ni sawa na Pepe Reina huku tegemeo lao mweny nyodo ambae natabiri kama hatobadilika nadhani akifika miaka 25 hata Reading wanaweza kumweka bench au kuuzwa kwa mkopo Ugiriki huyu ni Neymar nadhani akija FC Barcelona tajifunza mengi maana wamepita mastaa waliowika ktk vilabu mbalimbali lakini walivyofika FC Barcelona wakaonekana bado eg Zlatan,Petit,Overmars na Henry,ndio nashanga binafsi bado sijamkubali wala kumkataa Neyma ila bado hajafika uwezo wa Messi,na wachezaji wengi Brazil vilabu wanavyochezea ni vidogo tofauti na wachezaji wa Spain wengi ndio maana nawapa nafasi Spain,Brazil n uenyeji tu,hata mechi ipigwe CCM Msasani Spain anashinda.

Tunaomba urudi tena upige kelele zako tena hapa,utueleze imekuwaje timu yako yenye rekodi ya kutofungwa fainali imekuwaje leo
 
Back
Top Bottom