Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,621
- 4,317
Wenye star times wanaangalia channel gan?
Wakaicha pasi nyingi wanapita kiulaini sana beki ya brazil siyo nzuriSpain inabidi waache mpira wa pasi nyingi...Toress pia anaonekana hana madhara..hope kipind cha pili watabadilika na kirudisha magoli yote mawili plus la ushindi
uyu buffon dawa yake spain
Italy mshindi wa 3. Brazil wa 2, Spain Bingwa.
ngoja akina Gang Chomba na Juve2012 wamsikie!!
Spain kama CCM....kila siku ushindi...kila siku sherehe tu!!!!
Ofisi zako za utabiri ziko wapi?
Huyo hana dawa.
Huyo ni kipa kweli kweli...
Kama humjui nenda kafuatilie historia yake.
Kuna kipa alikuwa anadakia Juve akiitwa Edwin Van De Saar, aliposikia Buffon anatoka Parma kwenda Juve yaani hakumuaga hata katibu Tarafa au hata Mtendaji wa kata...yeye alitimkia Fulham na mizigo yake ikatumwa baada ya wiki moja mbele...
Chezea Buffon wewe?
EMT thanx for this useful thread...
Naona atlast tumeoma Brazil wakitetea kombe lao na Spain kishindwa kuweka rekodi ya kubeba makombe yote makubwa duniani.
Tukutane tena Brazil next year in the same forum panapo majaaliwa.
hehehehe kaazi kweli kweli spain kapigwa tatu bila
Mabingwa wa soka duniani,ulaya namba 1 ya soka duniani kwa sasa Spain leo au j3 TZ wanajitupa estadio Maracana vs timu inayojivunia historia na uenyeji tu Brazil ktk final ya kombe la mabara leo,ikiwa na wachezaji na kocha wasio na rekodi ya kupoteza mechi ktk final eg Casillas,Torres,Iniesta,Xavi,Busquets,Pique na kocha Del Bosque nawapa 98% kubeba kombe leo huku Brazil nikiwapa 2% tena 7bu ya uenyeji,1st eleven wengi wa Brazil ni sawa na 2nd eleven ya Spain kiuwezo,eg Oscar(1st eleven Brazil) ni sawa na Mata(2nd eleven Spain),Gustavo ni sawa na Martinez,Marcelo ni sawa na Nacho Monreal,Julio Cesar ni sawa na Pepe Reina huku tegemeo lao mweny nyodo ambae natabiri kama hatobadilika nadhani akifika miaka 25 hata Reading wanaweza kumweka bench au kuuzwa kwa mkopo Ugiriki huyu ni Neymar nadhani akija FC Barcelona tajifunza mengi maana wamepita mastaa waliowika ktk vilabu mbalimbali lakini walivyofika FC Barcelona wakaonekana bado eg Zlatan,Petit,Overmars na Henry,ndio nashanga binafsi bado sijamkubali wala kumkataa Neyma ila bado hajafika uwezo wa Messi,na wachezaji wengi Brazil vilabu wanavyochezea ni vidogo tofauti na wachezaji wa Spain wengi ndio maana nawapa nafasi Spain,Brazil n uenyeji tu,hata mechi ipigwe CCM Msasani Spain anashinda.