juve2012
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 3,343
- 2,022
kwani nani alienda final? Alaf sijasema buffon mbovu, naeshimu uwezo wake ila siku ile spain walimgalagaza babu wa wa2 anaruka kushoto wa2 wanapiga kulia daah ikawa kwere
na yule kibibi kizee wa Madrid,mkewe na Buffon mbona humzungumzii?au hukumuona alivyokuwa akidaka milingoti badala ya "Panenka"?