uyu buffon dawa yake spain
Italy mshindi wa 3. Brazil wa 2, Spain Bingwa.
uyu buffon dawa yake spain
hilo nalo neno..
Ninatamani sana Fainali ya Brazil na Spain nayo ifikie kwenye Penalty.
Ili tupate uhondo wote, mwanzo mwisho!!
ngoja akina Gang Chomba na Juve2012 wamsikie!!
Brazil atapigwa mapema tu, hata Penalty hafiki,
Mpira saa ngapi?