FIFA Confederations Cup Brazil 2013

FIFA Confederations Cup Brazil 2013

Spain kama CCM....kila siku ushindi...kila siku sherehe tu!!!!
 
Tatizo la Italy hawana striker mfungaji siku hizi
 
Bonucci toka lini akapiga penalty?

nimeshangaa na mie.makocha wa Italy huwa wana negligence ya ajabu.tumeshindwa kumfunga spain ndani ya dk 120.hilo ndio tatizo!kwa nini tukose magoli?hili ndio swali Prandelli aondoke nalo.
 
nimeshangaa na mie.makocha wa Italy huwa wana negligence ya ajabu.tumeshindwa kumfunga spain ndani ya dk 120.hilo ndio tatizo!kwa nini tukose magoli?hili ndio swali Prandelli aondoke nalo.

Lakini kumbuka the best penalty takers walikuwa wameshaisha.

Poleni lakini kwa sie neutral the best final ni Brazil v Spain.

Na hii fainali itakuwa ni warm up kwa ajili ya fainali ya ukweli hapo mwakani.
 
Lakini kumbuka the best penalty takers walikuwa wameshaisha.

Poleni lakini kwa sie neutral the best final ni Brazil v Spain.

Na hii fainali itakuwa ni warm up kwa ajili ya fainali ya ukweli hapo mwakani.
Mi naisubiri kwa hamu hiyo fainal...
kwa upande wangu naona Spain ana nafasi kubwa ya kulitwaa hili kombe.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mi naisubiri kwa hamu hiyo fainal...
kwa upande wangu naona Spain ana nafasi kubwa ya kulitwaa hili kombe.

The final is already mouth-watering.
 
Mbona wanaye Balotelli tatizo hakuwepo jana...:sick:
Baloteli bado hajakomaa kumbuka alikuwepo kwenye EURO walivyofungwa Span,Marcelo Lipppi wakati wa World Cup alienda na washambuliaji 6 waliokomaa (Del Piero,Luca Toni,Vicenzo Iaquinta,Francesco Totti,Pipo Inzhaghi na Gilardino)watu walimshangaa lakini kila mshambuliaji alifunga goli.Italy ni timu ambayo hawahitaji kutengeneza nafasi nyingi washinde wanaweza pata nafasi moja na wakashinda
 
Wengi waliamini Spain watapoteza kwenye penalt sababu hawana kawaida ya kushinda kwa style hiyo lakini wametuthibitishia kuwa ukimuona mtu kila siku anaendesha gari haimaanishi kuwa hana uwezo wa kutembea kwa miguu yawezekana alikuwa mtaalamu wa kusaka ndezi au mbawala kijijini kwao. Sasa umefika muda wa yule NEEMA kugeuka MWAJUMA na zile jazba zake lazima atarusha ngumi kwa mabingwa wa kila kitu maana jamaa hawaachi kitu kuanzia WC,EURO,CONFDRTN,U - 17,U - 20 mpaka U - WEAR.
 
wamebakia kujisifia kama wapemba sasa penati twawala lakini twafungwa yakhe!
 
Mkuu muda uliobaki unataka uzoefu tu, warogwe wafike kwenye matuta!
kaka nadhani ulisahau 2008 euro italy alifungwa ktk matuta robo final na Spain,yani hata ktk kurusha sarafu kichwa au mwenge usichezee Spain wanatisha
 
Back
Top Bottom