FIFA Confederations Cup Brazil 2013

FIFA Confederations Cup Brazil 2013

Wakuu msaada please!!!
1/Mechi ya Fainali ni saa ngapi?

2/Je, Kuna kituo chochote cha tv kupitia King'amuzi cha Startimes kitaonyesha fainali ya Brazil na Spain leo usiku?

Please mwenye kujua anijuze faster.

hakuna ila gemu ya fainali ni saa saba leo usiku ambayo ni kesho..
 
Mkuu wewe unatazama mpira kupitia Television gani? Vipi Startimes wamejipanga vema au magumashi tu?

starttimes hawaoneshi ni ss3..

na montolivo katolewa kwa red card baada ya kupata njano mbili..
 
hakuna ila gemu ya fainali ni saa saba leo usiku ambayo ni kesho..
Duh!! Imekula kwangu.
Asante kwa taarifa. Itabidi nikeshe hapa hapa JF kusoma Updates mwanzo mwisho.
Mahali nilipo ni Startimes pekee ina-operate tena kwa shida ile mbaya!!
 
Duh!! Imekula kwangu.
Asante kwa taarifa. Itabidi nikeshe hapa hapa JF kusoma Updates mwanzo mwisho.
Mahali nilipo ni Startimes pekee ina-operate tena kwa shida ile mbaya!!

pamoja sana mkuu tuendelee kuwa wote..
 
Mimi ninapenda wote waende kwenye Penalty ili tuone magoli mengi yakifungwa kwa muda mfupi sana!!!
I really like Penalty shooting.
 
cavanii three chances and both of them he miss them out..
 
Natamani ningekuwa ninachambua mpira humu JF kama yule jamaa wa kitambo kidogo alikuwa akichambua kwenye Luninga, alikuwa anaitwa 'Dr.Riki Abdallah'. Yule jamaa alikuwa wa ukweli sana!!
 
Full time 120' uruguay 2 - 2 italy sasa ni matuta yaani kina cavani watajutia chance walizopoteza kama watafungwa..
 
Natamani ningekuwa ninachambua mpira humu JF kama yule jamaa wa kitambo kidogo alikuwa akichambua kwenye Luninga, alikuwa anaitwa 'Dr.Riki Abdallah'. Yule jamaa alikuwa wa ukweli sana!!

unapaswa kuwa mfuatiliaji wa mpira na kuenda kuwajua wachezaji history zao na sheria za mpira pia..
 
cavanii three chances and both of them he miss them out..
Duh!! Huyo Cavani atakuwa ni mzigo na hasara kubwa sana kwa timu yake, yeye anajua kukosa tu na hajui kupata.
Enzi za Kanal Kipingu pale Makongo huyu jamaa angekuwa anapigwa fimbo mpaka basi.
 
Back
Top Bottom