FIFA Confederations Cup Brazil 2013

FIFA Confederations Cup Brazil 2013

uyu buffon dawa yake spain
Spain walimfunga ngapi Buffon tena kwa dk 120?hivi tv yako ni inchi ngapi?uvae ile miwani ya 3d ikusaidie kukuza picha kidogo!ngoja nikaendeshe kampeni kule jukwaa la siasa ili viroba vipigwe ban!vinasababisha macho ya mtumiaji yafunguke nusu nusu,matokeo yake haoni sawa sawa na kuanza kubwabwaja tuu bwabwaja tuu nonsense!
 
Mabingwa wa soka duniani,ulaya namba 1 ya soka duniani kwa sasa Spain leo au j3 TZ wanajitupa estadio Maracana vs timu inayojivunia historia na uenyeji tu Brazil ktk final ya kombe la mabara leo,ikiwa na wachezaji na kocha wasio na rekodi ya kupoteza mechi ktk final eg Casillas,Torres,Iniesta,Xavi,Busquets,Pique na kocha Del Bosque nawapa 98% kubeba kombe leo huku Brazil nikiwapa 2% tena 7bu ya uenyeji,1st eleven wengi wa Brazil ni sawa na 2nd eleven ya Spain kiuwezo,eg Oscar(1st eleven Brazil) ni sawa na Mata(2nd eleven Spain),Gustavo ni sawa na Martinez,Marcelo ni sawa na Nacho Monreal,Julio Cesar ni sawa na Pepe Reina huku tegemeo lao mweny nyodo ambae natabiri kama hatobadilika nadhani akifika miaka 25 hata Reading wanaweza kumweka bench au kuuzwa kwa mkopo Ugiriki huyu ni Neymar nadhani akija FC Barcelona tajifunza mengi maana wamepita mastaa waliowika ktk vilabu mbalimbali lakini walivyofika FC Barcelona wakaonekana bado eg Zlatan,Petit,Overmars na Henry,ndio nashanga binafsi bado sijamkubali wala kumkataa Neyma ila bado hajafika uwezo wa Messi,na wachezaji wengi Brazil vilabu wanavyochezea ni vidogo tofauti na wachezaji wa Spain wengi ndio maana nawapa nafasi Spain,Brazil n uenyeji tu,hata mechi ipigwe CCM Msasani Spain anashinda.

Huu ni uwenda-azimu!!
 
Spain walimfunga ngapi Buffon tena kwa dk 120?hivi tv yako ni inchi ngapi?uvae ile miwani ya 3d ikusaidie kukuza picha kidogo!ngoja nikaendeshe kampeni kule jukwaa la siasa ili viroba vipigwe ban!vinasababisha macho ya mtumiaji yafunguke nusu nusu,matokeo yake haoni sawa sawa na kuanza kubwabwaja tuu bwabwaja tuu nonsense!

Hana adabu -------- huyo!
 
Brazil atapigwa mapema tu, hata Penalty hafiki,

dogo wangu anaitwa Allan,ni shabiki wa kutupa wa Spain.jana nilimuomba mechi ikianza aniamshe.offcourse aliniamsha kwa staili nyingine.usiku usiku nilisikia mlango wa chumbani kwake unabamizwa pwaa!ile switch ya taa ilivyozimwa na matokeo nikawa nimeshayajua.nitamuuliza kama ni mdau wa jamiiforums,kwi kwi kwii!
 
tutake radhi aseee,yani spain nje?
Nakutaka radhi kwa kutumia jina la pombe ya Ulanzi, kwa usahihi niseme Spain walikuwa kama wamelewa chimpumu au Pingu.

Pigwa 3 kwa buyu, kipigo hicho hawajakipata miaka 30.
 
  • Thanks
Reactions: Aza
Sasa crew letu lote hapa JF ni maumivu tupu!Rejao kaumia,Aleyn kaumia,Ndetichia kaumia,baba lao Gutierez kaumia,wengine walishazisoma nyakati jana wakakaa kimyaa!tuwaliwaze vipi?GANG CHOMBA,MOURINHO,mnakumbuka tukiwa vijana wadogo enzi zile za RTD kulikuwa na kawimbo fulani hivi jpili mida ya saa 4 asubuhi?hebu tusaidiane kukaimba tuwaliwaze jamaa zetu jukwaani hapa.mie ntapiga Soprano,Mourinho gonga Alto,Chomba ngurumisha base.ya tatu kwa leo hatuna mwimbaji.haya moja mbili tatu twendee...WAKATI UMEWADIA WA SALAMU ZA WAGONJWAA HOSIPITALINII LEO TUNAWAPA POLEE..TILII TILII..KIPINDI CHENU CHAWAPENI POLEE,WOOTEE TWAWAPENI POLEE,GUTIEREZ TUNAKUPA POLEE....aah,Mourinho sio hivyo bhana,mbona unaimba flat bhana,hebu sikia ngurumo za Chomba pale kwenye woofer!
 
Spain walimfunga ngapi Buffon tena kwa dk 120?hivi tv yako ni inchi ngapi?uvae ile miwani ya 3d ikusaidie kukuza picha kidogo!ngoja nikaendeshe kampeni kule jukwaa la siasa ili viroba vipigwe ban!vinasababisha macho ya mtumiaji yafunguke nusu nusu,matokeo yake haoni sawa sawa na kuanza kubwabwaja tuu bwabwaja tuu nonsense!

punguza kiherehere unakuwa kama baamadi kaona castle lite, inamaana ukuona spain walivyokuwa wanamtungua kwenye matuta? Na mimi nilikuwa nazungumzia matuta, punguza wenge
 
punguza kiherehere unakuwa kama baamadi kaona castle lite, inamaana ukuona spain walivyokuwa wanamtungua kwenye matuta? Na mimi nilikuwa nazungumzia matuta, punguza wenge

kwa hiyo wewe unapima ubora wa golikipa kwa matuta sio?na siku ile uwanjani kulikuwa na golikipa mmoja tu ambae hakudaka penati,sivyo?wewe ulimwona Buffon tu?ushabiki bhana!haya kaka,ngoja niondoe kiherehere changu!
 
Jamani brave one aliona golikipa mmoja tu akifungwa penati siku ile,Buffon,bhaas!nikiitaja sababu kwa nini macho yako hayakumuona golikipa wa Spain siku ile utanitukana tena,ngoja nikae kimyaa niache wenge!
 
punguza kiherehere unakuwa kama baamadi kaona castle lite, inamaana ukuona spain walivyokuwa wanamtungua kwenye matuta? Na mimi nilikuwa nazungumzia matuta, punguza wenge

..........***Kipindi chenu chawapeni pole, kina dada twawapeni pole, wote tunawapa polee, mliopigwa BAO tatu tunawapa pole****......
 
Jamani brave one aliona golikipa mmoja tu akifungwa penati siku ile,Buffon,bhaas!nikiitaja sababu kwa nini macho yako hayakumuona golikipa wa Spain siku ile utanitukana tena,ngoja nikae kimyaa niache wenge!

Mkuu, huyo bwa mdogo bado anaugulia maumivu ya LIBOLOZIL, akipona atajua kuwa alikosea, sisi tuendelee tu kuwaimbia kale kawimbo!
 
..........***Kipindi chenu chawapeni pole, kina dada twawapeni pole, wote tunawapa polee, mliopigwa BAO tatu tunawapa pole****......

ha ha haaa!twende kazi mkuu..brave one tunakupa polee..tilili tiliii..ta la la,aisee Mourinho unajua kuimbaa!
 
Jamani brave one aliona golikipa mmoja tu akifungwa penati siku ile,Buffon,bhaas!nikiitaja sababu kwa nini macho yako hayakumuona golikipa wa Spain siku ile utanitukana tena,ngoja nikae kimyaa niache wenge!

kwani nani alienda final? Alaf sijasema buffon mbovu, naeshimu uwezo wake ila siku ile spain walimgalagaza babu wa wa2 anaruka kushoto wa2 wanapiga kulia daah ikawa kwere
 
Mkuu, huyo bwa mdogo bado anaugulia maumivu ya LIBOLOZIL, akipona atajua kuwa alikosea, sisi tuendelee tu kuwaimbia kale kawimbo!

we jamaa yangu hausahau? Watu tusha 'move on' we bado unawawaza libolo na mwakani mnapangiwa nyie ndo mtaona moto, alaf siumeona yule mnaemuhonga 2memuacha golini atasimama uganda one safari hii 5 zinarudi
 
ha ha haaa!twende kazi mkuu..brave one tunakupa polee..tilili tiliii..ta la la,aisee Mourinho unajua kuimbaa!

hahaha mimi timu yangu taifa stars uku kwingine mbwembwe 2, alaf iyo mistari haina vina wala mtiriliko kuimba hujui, rudini kule kwenye jukwaa lenu la siasa mkapige soga
 
hahaha mimi timu yangu taifa stars uku kwingine mbwembwe 2, alaf iyo mistari haina vina wala mtiriliko kuimba hujui, rudini kule kwenye jukwaa lenu la siasa mkapige soga

wewee,hiyo afro dance ya miaka ya 70 haipangiliwi vina kivilee,tatizo lako umezoea sana kusikiliza chi..chi...chi...chidi beenz!halafu ulijuaje kuwa tupo kule kama na wewe si mdau?nyani haoni...kwi kwii!
 
Back
Top Bottom