Fifa 14 vs pes 14

Fifa 14 vs pes 14

Mndengereko

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
7,308
Reaction score
3,419
nimekuwa nikifuatilia sana additional features za haya magame mawili kwa muda kidogo ila stil bado naendelea kuamini kwamba pes hana chake mbele ya fifa,hasa ukizingatia ujio wa ps 4 na x box one ambapo fifa watatoa matoleo ya kipekee kwa hayo maagame mawili,(unique feature)ambazo hatutozipata kwenye pc wala ps 3,kwa bahati mbaya sana pes hawajatoa game maalum kwa ajili ya x box one au ps 4,nahisi wantafuta muda wa kukaa na kujiuliza nini waongeze tofauti na fifa au fifa alichokisahau ili watoe something unique and better(msimu ujao labda wanaweza kutoa).yote kwa yote kwa sisi ambaao ni game addicted we cant wait for them anymore regardless ni mpenzi wa fifa au pes,

kuna wale ambao wanaogopa ps 4 itakuwa ghali sana la hasha,mpya inajulikana itauzwa us dollar 400 around tsh 650,000 na cd zake zitaanzia kuuzwa kuanzia a dollar 60,so kama unaweza kuafford ps 3 im sure unaweza pia kuafford ps 4 as ps 3 mpya mlimani city 650,000){not to mention maujanja ya torrents,downloading game na system jailbraking kupata free games}
angalia screen shot na game trailer za hayo magame mawili ujione utofauti na uone watu walivyokuwa serious na kazi zao,karibuni kwa michango





fifa 14.jpg

244292-425x239.jpg
510_393657850751753_1481976054_n-425x238.jpg

944114_397536457030559_1153482721_n-425x239.jpg

1005558_397536490363889_506045324_n-425x239.jpg fifa14-01-425x239.jpg
 
Last edited by a moderator:
as usual mkuu conclusion umeitoa mwanzo tu. fifa halina nafasi kwenye kifaa changu chochote game gani halina manjonjo hilo. shule niwe serious, kazini niwe serious na kwenye game piaaaaaaa???????
 
as usual mkuu conclusion umeitoa mwanzo tu. fifa halina nafasi kwenye kifaa changu chochote game gani halina manjonjo hilo. shule niwe serious, kazini niwe serious na kwenye game piaaaaaaa???????
mkuu reality ndio inayo matter inabidi feel kama kweli upo uwanjani,`better players deserve better game`
 
as usual mkuu conclusion umeitoa mwanzo tu. fifa halina nafasi kwenye kifaa changu chochote game gani halina manjonjo hilo. shule niwe serious, kazini niwe serious na kwenye game piaaaaaaa???????

sasa manjonjo gani, nimecheza fifa, na pes, bwana wee fifa huishindanishi na pes
 
sasa manjonjo gani, nimecheza fifa, na pes, bwana wee fifa huishindanishi na pes
wamezoea chenga mwazo mpk mwisho mpira wa anakwenda anakwenda,mpk kipa anpiga chega wakati skills ni kwa watu maalum tu
 
Pes atamzidi Fifa kwa Patch, kwa wale wanaocheza game kupitia PC nadhani wamenielewa.
 
Fifa graphics tu na kitu kinakua real ila manjonjo na action anazo pes
 
Mimi fan wa pes miaka yote
jaribu fifa mkuu uexperience the difference mi mwenyewe nilikuwa addicted fan wa pes ila baada ya kuhamia fifa pes huwa nacheza mara moja moja sana nikimiss kucheza uefa na kupiga unlimited chenga
 
Nahitaji elimu zaidi ya haya mambo ili na mie nifanye makeke ni-enjoy na hivi nina kichwa chepesi ku-adopt new technology nadhani muda mchache ujao nitakua kama nyie
 
Pes bila patch hakna mzuka labda kwa nyie mnaocheza kwa ps na xbox mtaona inaboa ila ukiipiga patch kwenye pc issue nyingine
 
Nahitaji elimu
zaidi ya haya mambo ili na mie nifanye makeke ni-enjoy na hivi nina
kichwa chepesi ku-adopt new technology nadhani muda mchache ujao nitakua
kama nyie

kwanza mkuu inabidi uwe na interest,cha pili tafuta hayo magame tunayoyazungumzia either uyadownload au uchukue kwa mtu then uinstall kwenye computer yako uanze kucheza uzur yote yana sehemu ya trainining so the more unavyocheza ndo the more unavyojiupgrade kiwango!
 
Fifa ni ya ukweli sana, ingawa inanitesa kwenye kukaba, kuna wachezaji kama MESSI kuwakaba inataka moyo...
 
kwanza mkuu inabidi uwe na interest,cha pili tafuta hayo magame tunayoyazungumzia either uyadownload au uchukue kwa mtu then uinstall kwenye computer yako uanze kucheza uzur yote yana sehemu ya trainining so the more unavyocheza ndo the more unavyojiupgrade kiwango!

Pamoja mkuu
 
Fifa ni ya ukweli sana, ingawa inanitesa kwenye kukaba, kuna wachezaji kama MESSI kuwakaba inataka moyo...
ukikaba kwa kushikilia "x" mwanzo mwisho lazima uone ngumu inabidi kidogo uachilie "x" sometime ufanye timing ya attacker na wewe mkabaji la sivyo akina messi na ronaldo watasumbua sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom