Nakfa
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 11,332
- 15,060
Mtangazaji wa kipindi cha xxl cha clouds fm amesema hii ndio itakuwa fiesta ya mwisho kufanyika leaders club njooni tufunge NANUKUU; "mwakani tutatafuta pakwenda njoo tufunge leaders" je wanataka kushindana na sheria au maamuzi ya kiongozi wa usalama wa mkoa