Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,575
- 12,368
Recho kaacha unga au
Linah kavaaa Kinyelamumo (Kunya humo humo) ana shepu hatar ila nguo aliyovaa kwetu wanavaa watu ambao hawajisikiagi haja kubwa mpaka baada ya sku 3

Bora tu atulia,.... huyu jamaa bado anampenda mama Steve.kawa mc barnaba
Sauti ishakataRecho nywele kama tejaa Wa kike poooh na hereni zake kama bakuli za supu za mamantilie Wa tandika
Hajapendeza hata kidogo pooohSauti ishakata
Kwa udhamini wako tunamleta juxBen Pol nimemuelewa sanaaaaaaaa
Umewasahau NAY WA MITEGO na CHRISTIAN BELLA ni wazuri jukwaani bila kuwasahau rostamKuimba live na kuchangamsha dimondi bana...apa wengine wakasome
Wasanii wengi wa kike bongo wnapotea haraka sana sijui shida nini.Recho kapooza kweli unga mbaya loh
Linah kavaaa Kinyelamumo (Kunya humo humo) ana shepu hatar ila nguo aliyovaa kwetu wanavaa watu ambao hawajisikiagi haja kubwa mpaka baada ya sku 3

Na BlueUmewasahau NAY WA MITEGO na CHRISTIAN BELLA ni wazuri jukwaani bila kuwasahau rostam
Recho nywele kama tejaa Wa kike poooh na hereni zake kama bakuli za supu za mamantilie Wa tandika

Maisha ya ku actWasanii wengi wa bongo wnapotea haraka sana sijui shida nini.
InawezekanaMaisha ya ku act