Field practicals imenifungua macho.

Kaka kinachofanyika ni kwamba hao magraduate wa vyuo vingine wanatumika kama cheap labour it doesn't matter na job position once ukiqualify basi watakubana kwenye salary cuz hivi vyuo visivyo na majina wao chochote utakacho wapa ni poa tu cuz degree zao wamezipatapata hazina viwango vinavyokubalika kitaifa na hata kimataifa....na unaweza kunipa sababu ya vyuo vyao kutokuwa na majina???

kama iyo ndio sababu ya wao kuchukuliwa kisa ni cheap labour na jamaa apo ameshasema ni ofisi kubwa itakuwaje tena ofisi kubwa iwape post hao graduates ambao sio competent et kisa tuu ni cheap?? mi naomba mtoa thread kama aliweza kufanya research juu ya ilo jambo aligundua ni kwa nn hao graduates wamefanikiwa kupata izo posts??? thanx
 
Kupata kazi ni zaidi ya hzo mnazoziita qualification, ofic kubwa gan unayoshindwa kuitaja jina? Hivyo vyuo visivyo na majina ni vipi?
 
kama iyo ndio sababu ya wao kuchukuliwa kisa ni cheap labour na jamaa apo ameshasema ni ofisi kubwa itakuwaje tena ofisi kubwa iwape post hao graduates ambao sio competent et kisa tuu ni cheap?? mi naomba mtoa thread kama aliweza kufanya research juu ya ilo jambo aligundua ni kwa nn hao graduates wamefanikiwa kupata izo posts??? thanx

sababu kubwa ni kwamba jamaa walikua nondo.over
 
Wa Tanzania wengi.wanaamini vyeti ndo kila kitu.= wanaiba mitihani,wanagezea mitihani,wanalipa watu kuwafanyia mitihani. Wanasahau ya kuwa ubongo wako ndo kila kitu. Pata A,pata f class degree,but jua ya kuwa in real life is what you can do na sio vinginevyo
 
unaweza ukawa umehitimu chuo kikuu na GPA nzuri tu,lakini uwezo wa kujudge vitu ni mdogo na hivyo kwenye interview inakuwa tatizo.TAFADHALI NAPITA TU WANAJF
 
wewe kumbe ulikuwa unajivunia jina bila kitu kichwani!!?? kama wewe unafikiri udsm ni jina tu pole sana, ila UDSM MAANAKE CONTENT kichwani ni jambo la maana zaidi!!!

kuna vyuo kama Udom hata ujitume vipi utatoka empty.
 
Ya its true nowdays many employer looking for competence base not grade base so what ever University you are or from try to model yourself to competence base in your field. Usikomae upate GPA kubwa kwa kudesa vitu tu alafu ukiambia utoe maelezo kuhusu hicho ulichofaulu hamana kitu wakati mwingine ana GPA ya kawaida lakini ni moto wa kuotea mbali katika hiyo field so advice watu mliopo chuo someni kwa malengo ya kuwa competent katika field zenu, tunakwokwenda hali inabadilika sana tofauti na zamani ukiwa na A's nyingi unapata kazi kwanza sasa dunia imebadilika.Kipimo cha mtu aliyesoma kwa kudesa mwangalie akikosa kazi hawezi kuwa mbunifu wa kutafuta kitu cha kufanya kuhusu field yake au hata kubuni ujasiriamali mdogo ,so take care we a living in globalized world nowdays.
 
Kwani we unaejiita "mzee" shida yako ni nini na udom? mbona unakua ka mwanamke alieibiwa mme
 
Ya its true nowdays many employer looking for competence base not grade base so what ever University you are or from try to model yourself to competence base in your field. Usikomae upate GPA kubwa kwa kudesa vitu tu alafu ukiambia utoe maelezo kuhusu hicho ulichofaulu hamana kitu wakati mwingine ana GPA ya kawaida lakini ni moto wa kuotea mbali katika hiyo field so advice watu mliopo chuo someni kwa malengo ya kuwa competent katika field zenu, tunakwokwenda hali inabadilika sana tofauti na zamani ukiwa na A's nyingi unapata kazi kwanza sasa dunia imebadilika.Kipimo cha mtu aliyesoma kwa kudesa mwangalie akikosa kazi hawezi kuwa mbunifu wa kutafuta kitu cha kufanya kuhusu field yake au hata kubuni ujasiriamali mdogo ,so take care we a living in globalized world nowdays.
Mkuu hata MBA ya Harvard?
 
M2 wangu ukae ukijua co jina la chuo litakalokupa ajira bali uwezo wako mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom