Kwa hili UDOM nimewapongeza!

twatwa

Member
Mar 15, 2013
21
11
Salaam ndugu zangu.

Ni juzi tu UDOM wametoa majina ya watu wa kwenda kufanya usahili kwa kada za wanataaluma na waendeshaji. Kilichonifurahisha kuhusu UDOM kwa mara hii ni hiki; wametoa mambo ya ubaguzi wa vyuo, kwa kada za wakufunzi wameita watu waliokuwa na vigezo kutoka karibia vyuo vyote hapa Tanzania. Nimeona walioitwa kwenye usahili kwa kada za ukufunzi kutoka chuo cha mipango, St. Jonh's University, RUCO, MUCCoBs, St. Augustine n.k.

UDOM wameonyesha utofauti na chuo kama UDSM ambao wanaubaguzi sana, mana hata ukisoma Mzumbe basi jua huwezi kuwa mhadhiri wa UDSM! wao wanaamini product zao tu, lakini si kweli kwamba wanafunzi wao ndiyo bora kuliko wanaosoma vyuo vingine. Haya mambo yamekuja kugundulika baada ya tume ya utumishi wa umma kusimamia usahili kwenye taasisi za Umma! Kwa mfano, asilimia kubwa ya watu walioajiriwa na tume ya utumishi wa Umma kama assistant lectures au tutorials kwenye vyuo vya Umma kama CBE, IFM na IRDP hawajatokea UDSM! Kuna baadhi ya interview wanafunzi waliosoma UDSM walikuwa wanagalagazwa hadi unakuta hakuna mtu hata mmoja aliyepita kwenye written interview.

Vijana ambao mwanzo walikuwa hawapewi nafasi toka vyuo kama IAA, TIA na IFM wamekuwa waking'aa sana! Na subirini muone hao watakaoenda kupambana uko UDOM jinsi vijana kutoka vyuo vingine watakavyoong'aa! Hongereni UDOM kwa kutaka kupima uwezo wa wafanyakazi wao kwa kuangalia qualifications zao na si chuo walichotoka!
 
Salaam ndugu zangu.

Ni juzi tu UDOM wametoa majina ya watu wa kwenda kufanya usahili kwa kada za wanataaluma na waendeshaji. Kilichonifurahisha kuhusu UDOM kwa mara hii ni hiki; wametoa mambo ya ubaguzi wa vyuo, kwa kada za wakufunzi wameita watu waliokuwa na vigezo kutoka karibia vyuo vyote hapa Tanzania. Nimeona walioitwa kwenye usahili kwa kada za ukufunzi kutoka chuo cha mipango, St. Jonh's University, RUCO, MUCCoBs, St. Augustine n.k.

UDOM wameonyesha utofauti na chuo kama UDSM ambao wanaubaguzi sana, mana hata ukisoma Mzumbe basi jua huwezi kuwa mhadhiri wa UDSM! wao wanaamini product zao tu, lakini si kweli kwamba wanafunzi wao ndiyo bora kuliko wanaosoma vyuo vingine. Haya mambo yamekuja kugundulika baada ya tume ya utumishi wa umma kusimamia usahili kwenye taasisi za Umma! Kwa mfano, asilimia kubwa ya watu walioajiriwa na tume ya utumishi wa Umma kama assistant lectures au tutorials kwenye vyuo vya Umma kama CBE, IFM na IRDP hawajatokea UDSM! Kuna baadhi ya interview wanafunzi waliosoma UDSM walikuwa wanagalagazwa hadi unakuta hakuna mtu hata mmoja aliyepita kwenye written interview.

Vijana ambao mwanzo walikuwa hawapewi nafasi toka vyuo kama IAA, TIA na IFM wamekuwa waking'aa sana! Na subirini muone hao watakaoenda kupambana uko UDOM jinsi vijana kutoka vyuo vingine watakavyoong'aa! Hongereni UDOM kwa kutaka kupima uwezo wa wafanyakazi wao kwa kuangalia qualifications zao na si chuo walichotoka!

Uko sahihi sana.nakumbuka tulifanya interview kwenye chuo fulan cha umma.kwa kweli wingi tuliopata tulitoka vyuo vya binafsi.na kwa wale waliopata ambao walisoma vyuo ya serikali walikuwa ni products za mzumbe na hizi institutes km vile TIA, IFM
 
Salaam ndugu zangu.

Ni juzi tu UDOM wametoa majina ya watu wa kwenda kufanya usahili kwa kada za wanataaluma na waendeshaji. Kilichonifurahisha kuhusu UDOM kwa mara hii ni hiki; wametoa mambo ya ubaguzi wa vyuo, kwa kada za wakufunzi wameita watu waliokuwa na vigezo kutoka karibia vyuo vyote hapa Tanzania. Nimeona walioitwa kwenye usahili kwa kada za ukufunzi kutoka chuo cha mipango, St. Jonh's University, RUCO, MUCCoBs, St. Augustine n.k.

UDOM wameonyesha utofauti na chuo kama UDSM ambao wanaubaguzi sana, mana hata ukisoma Mzumbe basi jua huwezi kuwa mhadhiri wa UDSM! wao wanaamini product zao tu, lakini si kweli kwamba wanafunzi wao ndiyo bora kuliko wanaosoma vyuo vingine. Haya mambo yamekuja kugundulika baada ya tume ya utumishi wa umma kusimamia usahili kwenye taasisi za Umma! Kwa mfano, asilimia kubwa ya watu walioajiriwa na tume ya utumishi wa Umma kama assistant lectures au tutorials kwenye vyuo vya Umma kama CBE, IFM na IRDP hawajatokea UDSM! Kuna baadhi ya interview wanafunzi waliosoma UDSM walikuwa wanagalagazwa hadi unakuta hakuna mtu hata mmoja aliyepita kwenye written interview.

Vijana ambao mwanzo walikuwa hawapewi nafasi toka vyuo kama IAA, TIA na IFM wamekuwa waking'aa sana! Na subirini muone hao watakaoenda kupambana uko UDOM jinsi vijana kutoka vyuo vingine watakavyoong'aa! Hongereni UDOM kwa kutaka kupima uwezo wa wafanyakazi wao kwa kuangalia qualifications zao na si chuo walichotoka!

safi sana hakuna cha kutumwa hapo tuwe wawazi bila ubaguzi kama MOF TPDC HIF NA WENGINE .......... UDOM BIG UP
 
Acheni unaz hapa kila mtu huwa anafagilia chuo alichosomea kaz au umaisha havijalish umesomea wapi wakuu pigen kaz acha majungu!
 
Unabifu tu wewe na UDSM si bure me mbona sister wangu kasoma SUA na anafundisha UDSM... Muhimu kichwa chako tu kama upo vizuri utapata tu.
Mwambie huyo.....Ubora wa mtu upo kichwani, sio kwenye chuo alichosoma. Kuwa shortlisted ni jambo moja na kuitwa ni jambo jingine. Wakishaajiri uje utuambie kuwa hawana ubaguzi. Unafikiri UDSM wakihitaji Daktari watashindwa kuajiri mtu wa MUHAS? Wakihitaji mtu wa Agronomy watashindwa kumtoa SUA, Wakihitaji mtu wa Estate watashindwa kuajiri toka ARU? wakihitaji mtu wa Risk assessment and social security watashindwa kuajiri mtu wa IFM? wakihitaji mtu wa Project Management watashindwa kuajiri mtu toka UDOM? wakihitaji mtaalam wa Counselling wataacha kumuajiri mtu wa Tumaini mwenye sifa? Mtu wa Libarary (bachelor watashindwa kuajiri toka Tumaini Dar?).Mtu wa Health Administration wataacha kuajiri toka Mzumbe? Acheni kuongea mambo bila kufanya utafiti wa kutosha nyie....kama huna kazi usisingizie Chuo ulichosoma au ubaguzi wa chuo kingine. Tafuta Prospectus ya UDSM uangalie jinsi kulivyo na mgawanyo wa ajira mpaka unawakuta watu wa KIU wapo pale......KWA WANAFUNZI; WEKENI VIZURI GPA ZENU, JIANDAENI VIZURI NA USAILI MTAFANIKIWA TU BILA KUJALI MMESOMA VYUO GANI, ACHENI INFERIORITY COMPEX, VYUO VYOTE VILIVYOSAJILIWA NA TCU NA NACTE VINATAMBULIWA NA SERIKALIKWA HIYO HAKUNA SABABU YA KUJA KUTOA MAPOVU HAPA KUSHINDANIA UJINGA. KAMA UNAFIKIRI UKIIPONDA UDSM UMEMAMALIZA SHIDA ZAKO BASI VIPO VYUO BORA KULIKO UDSM...
 
Mimi siamini kabisa mhitimu let say Harvard University atakuwa sawa na mhitimu wa UDOM. Hebu tuelezeni ranking ya vyuo hivyo vingine eg IFM, Mzumbe, MUCOS, DIT, OUT, ziko je ukilinganisha na UDSM, Hilo tu can tell a lot about wahitimu wa respectvies Universities
 
nawaona mamburula tuu! badala ya kujadili mambo ya msingi mnajadili ujinga tuu!! kwa hiyo TCU na NACTE ni maboya au!?
 
Back
Top Bottom