Field practicals imenifungua macho.

Kaka kinachofanyika ni kwamba hao magraduate wa vyuo vingine wanatumika kama cheap labour it doesn't matter na job position once ukiqualify basi watakubana kwenye salary cuz hivi vyuo visivyo na majina wao chochote utakacho wapa ni poa tu cuz degree zao wamezipatapata hazina viwango vinavyokubalika kitaifa na hata kimataifa....na unaweza kunipa sababu ya vyuo vyao kutokuwa na majina???

Hatuko kwenye ulimwengu wa ujamaa, Naamini saizi yako ya kuchanganua mambo ni watoto wa kindergarten. SIPATI TASHWISHI KUAMINI KUWA HAPA JF ULIKUWA UNAPITA TU.
 
toa hoja acha kuleta verse za taarabu......nini hasa unataka kusema kuhusiana na mada kuwa vyuo visivyo na majina magraduates wanaweza kupata ajira???......hayo uliyoyasema hata kichaa yeyote anaweza kuyaongea maana ujatumia kabisa akili.
 
Hatuko kwenye ulimwengu wa ujamaa, Naamini saizi yako ya kuchanganua mambo ni watoto wa kindergarten. SIPATI TASHWISHI KUAMINI KUWA HAPA JF ULIKUWA UNAPITA TU.

toa hoja acha kuleta verse za taarabu......nini hasa unataka kusema kuhusiana na mada kuwa vyuo visivyo na majina magraduates wanaweza kupata ajira???......hayo uliyoyasema hata kichaa yeyote anaweza kuyaongea maana ujatumia kabisa akili.
 
toa hoja acha kuleta verse za taarabu......nini hasa unataka kusema kuhusiana na mada kuwa vyuo visivyo na majina magraduates wanaweza kupata ajira???......hayo uliyoyasema hata kichaa yeyote anaweza kuyaongea maana ujatumia kabisa akili.

NANI KAKWAMBIA KWENYE INTERVIEW PANNEL WANAANGALIA MAJINA YA VYUO?

Kwenye interview pannel huwa kuna vigezo na kila kigezo kinamaksi ulisikia ni pannel ipi inatoa imepanga maksi za chuo ulichosoma?

Employers wanaangalia compentency ya applicant, Uwezo wa kuadopt new culture/ amma how you can coupe in a multicultural environment, Uwezo wa kuamua na kuchukua hatua pamoja na experience if needed.

Wakati tukiwa kwenye ujamaa tukiwa na vyuo vichache na serikali akiwa mwajiri pekee mkubwa na kipindi hicho wasomi wakiwa wachache MAJINA YA VYUO YALITUMIKA SANA.

Kwenye globalisation and capitalism economy kinachoangaliwa nini competency ya mtu.

Nadhani sasa umeelimika kiasi japo itakuchukua muda kuchange your perception and attitude bcz it is a PROCESS
 
wengi bado hawajajua hii habari ya chuo.kila chuo kina ubora kutokana na output wanazotoa.we piga kelele sababu upo chuo unasoma.maliza masomo uje katika soko la ajira,utaungana na senetor tu!mark my words hamy D.
 
NANI KAKWAMBIA KWENYE INTERVIEW PANNEL WANAANGALIA MAJINA YA VYUO?

Kwenye interview pannel huwa kuna vigezo na kila kigezo kinamaksi ulisikia ni pannel ipi inatoa imepanga maksi za chuo ulichosoma?

Employers wanaangalia compentency ya applicant, Uwezo wa kuadopt new culture/ amma how you can coupe in a multicultural environment, Uwezo wa kuamua na kuchukua hatua pamoja na experience if needed.

Wakati tukiwa kwenye ujamaa tukiwa na vyuo vichache na serikali akiwa mwajiri pekee mkubwa na kipindi hicho wasomi wakiwa wachache MAJINA YA VYUO YALITUMIKA SANA.

Kwenye globalisation and capitalism economy kinachoangaliwa nini competency ya mtu.

Nadhani sasa umeelimika kiasi japo itakuchukua muda kuchange your perception and attitude bcz it is a PROCESS

hilo nalo neno mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom