Katika wimbo wake mpya unaoitwa Nakaza roho, Ferooz ametapika sana nyongo! Kikubwa kasikitishwa na ndugu zake wa karibu Prof J na Chege kumtenga na kutotaka hata kumsikia.
Ameenda mbali zaidi na kudai ndoa yake imevunjika na mke kamkimbia, kifupi ni ngoma kali sana na inaweza kumrudisha kwenye chart.
Aisee bado sio ferooz yule wa Safari na Boss. Producer kakuangusha sana, pamoja na yeye kujitahidi kukaza kwenye vocal.
Mika mwamba pekee ndio aliweza kupika nyimbo zao na majani kwa mbaali.