Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Zemanda

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2021
Posts
10,664
Reaction score
22,834
Kwanza ifahamike kwamba neno feminism lina tokana na neno feminine ambalo ukiperuzi maana yake utakuta ni “having characteristics that are traditionally thought to be typical of or suitable for a woman” na pia utaweza kukutana na maana ikisema “describes qualities, appearances, or behaviours typically associated with women or girls”. Katika hizi maana mbili utaona kwamba neno feminine (adjective) ambalo linatokana na jina (noun) Female limelenga kumtambulisha mwanamke kwa sifa zake za kike kinyume na shughuli za mafeminists wengi wa hovyo kama Jadda et al ambao humtambulisha mwanamke kwa sifa za kiume.

Ukiingia mtandaoni ukatazama maana ya neno “feminist’ na “Feminism” utakutana na maneno kama haya: “a feminist is someone who supports equal rights for women” au “a feminist is a socio-political movement advocating for the equality of the sexes, believing modern societies are patriarchal and unjustly treat women.

Kwa mtu mwenye utimamu wa akili akitazama tu hizi maana yaani maana ya neno jina na neno kitendo haviendani hata kidogo. Yaani kwa asili neno female lina maana ya “wa kike” au “ya kike” lakini iweje tena movement yake yaani feminism iseme ni harakati za kumfanya mwanamke alingane na mwanaume na kuacha asili yake kudai haki za kiume, sawa na mwanaume bila kutumikia au kuwa na wajibu sawa na mwanaume? Make this make sense ndugu zanguni. Ni kichaa tu ambaye ataona hili jambo limekaa sawa sawa na hallina dosari yoyote ya kimantiki.

Hivi kama wanajamii tumeshawahi kujiuliza maswali magumu kama ni haki zipi ni za mwanamke? Au tuhoji hivi, mwanaume ana haki zipi za kimsingi na mwanamke ana haki zipi za kimsingi?

Je, kama mwanaume anapendelewa kihaki je, anapendelewa katika maudhui yapi ambayo mwanamke anaminywa?
Hivi tumeshawasikiliza kwa umakini wanawake wanacholalamika na matakwa yao (sio mahitaji) then kuwatazama wanachokifanya katika uhalisia wakishapewa fursa wanazotaka?

Mimi siungani na hii movement na nina ipinga kama movent haramu kwenye jamii na yeyote anayeisapoti pia anakuwa ni haramu katika hii jamii kushinda hata dawa za kulevya maana dawa za kulevya hazijaleta madhara mabaya kushinda feminism ndani ya muda mfupi.
Unawezaje kuwa na harakati batili inayojinasibu kuwa ipo kulenga kumtetea na kumkomboa mwanamke ila kiuhalisia ime target kushape akili za wanawake kuwa negative katika jamii yao na kuwageuza kuwa kansa ya kuiharibu jamii hiyo hiyo huku kikiacha u’hovyo wa kila aina.
Hebu mtu aniambie faida za feminism na matokeo yake tokea imekuwa introduced miaka ya 1990s?

Ni muda sasa kutambua feminism kama harakati haramu kwa jamii na tuanze kuikemea kwa nguvu zote.

Nimeona pale chou kikuu UDSM wame introduce masomo ya femism ili kuwajaza ujinga mabinti na vijana wetu ambao wanakwenda kupewa elimu ya kuikomboa jamii yao na sio kuigawa katika makundi ya jinsia.

Kama tutaendelea kukaa kimya then tutarajie maasi zaidi kama yanayotokea huko mataifa ya magharibi kama USA, CANADA na United Kingdom ambayo kwasasa yanapitia mvurugiko mkubwa sana wakijamii kwasababu ya uzembe wa kuendekeza ideology za kipumbavu kama feminism katika jamii zao na matokeo yake zimeparanganyua kabisa ustawi na jamii sasa haieleweki ina uelekeo upi.
 
Kwanza ifahamike kwamba neno feminism lina tokana na neno feminine ambalo ukiperuzi maana yake utakuta ni “having characteristics that are traditionally thought to be typical of or suitable for a woman” na pia utaweza kukutana na maana ikisema “describes qualities,appearances,or behaviours typically associated with women or girls”. Katika hizi maana mbili utaona kwamba neno feminine (adjective) ambalo linatokana na jina (noun) Female limelenga kumtambulisha mwanamke kwa sifa zake za kike kinyume na shughuli za mafeminists wengi wa hovyo kama Jadda et al ambao humtambulisha mwanamke kwa sifa za kiume.
Ukiingia mtandaoni ukatazama maana ya neno “feminist’ na “Feminism” utakutana na maneno kama haya “a feminist is someone who supports equal rights for women” au “a feminist is a socio-political movement advocating for the equality of the sexes, believing modern societies are patriarchal and unjustly treat women.

Kwa mtu mwenye utimamu wa akili akitazama tu hizi maana yaani maana ya neno jina na neno kitendo haviendani hata kidogo. Yaani kwa asili neno female lina maana ya “wa kike” au “ya kike” lakini iweje tena movement yake yaani feminism iseme ni harakati za kumfanya mwanamke alingane na mwanaume na kuacha asili yake kudai haki za kiume, sawa na mwanaume bila kutumikia au kuwa na wajibu sawa na mwanaume? Make this make sense ndugu zanguni. Ni kichaa tu ambaye ataona hili jambo limekaa sawa sawa na hallina dosari yoyote ya kimantiki.

Hivi kama wanajamii tumeshawahi kujiuliza maswali magumu kama ni haki zipi ni za mwanamke? Au tuhoji hivi, mwanaume ana haki zipi za kimsingi na mwanamke ana haki zipi za kimsingi?

Je, kama mwanaume anapendelewa kihaki je, anapendelewa katika maudhui yapi ambayo mwanamke anaminywa?
Hivi tumeshawasikiliza kwa umakini wanawake wanacholalamika na matakwa yao (sio mahitaji) then kuwatazama wanachokifanya katika uhalisia wakishapewa fursa wanazotaka?

Mimi siungani na hii movement na nina ipinga kama movent haramu kwenye jamii na yeyote anayeisapoti pia anakuwa ni haramu katika hii jamii kushinda hata dawa za kulevya maana dawa za kulevya hazijaleta madhara mabaya kushinda feminism ndani ya muda mfupi.
Unawezaje kuwa na harakati batili inayojinasibu kuwa ipo kulenga kumtetea na kumkomboa mwanamke ila kiuhalisia ime target kushape akili za wanawake kuwa negative katika jamii yao na kuwageuza kuwa kansa ya kuiharibu jamii hiyo hiyo huku kikiacha u’hovyo wa kila aina.
Hebu mtu aniambie faida za feminism na matokeo yake tokea imekuwa introduced miaka ya 1990’s?

Ni muda sasa kutambua feminism kama harakati haramu kwa jamii na tuanze kuikemea kwa nguvu zote.

Nimeona pale chou kikuu UDSM wame introduce masomo ya femism ili kuwajaza ujinga mabinti na vijana wetu ambao wanakwenda kupewa elimu ya kuikomboa jamii yao na sio kuigawa katika makundi ya jinsia.

Kama tutaendelea kukaa kimya then tutarajie maasi zaidi kama yanayotokea huko mataifa ya magharibi kama USA, CANADA na United Kingdom ambayo kwasasa yanapitia mvurugiko mkubwa sana wakijamii kwasababu ya uzembe wa kuendekeza ideology za kipumbavu kama feminism katika jamii zao na matokeo yake zimeparanganyua kabisa ustawi na jamii sasa haieleweki ina ue
lekeo upi.
Jamii yetu kama kawaida ita ignore this, wako busy na umbea na michezo.
Until damage itakapoanza kuwa kubwa kuliko ndipo wataanza kupiga kelele when it too late
 
Ifikie pahala wanaume mkubali tu kwamba yote mnayoyapigania ni kwa maslahi yenu na si ya wanawake wala ya jamii acheni hizi propaganda zenu za mwaka 47 siku hizi wanawake wana akili, maana kila ukiuliza madhara ya feminism kwa wanawake wenyewe hakuna mwenye majibu yaliyonyooka utaletewa kiswahili kirefu halafu mwisho wa siku utagundua hayo madhara ni kwa wanaume, ila wanaume wanatumia self serving reverse psychology trick ili ionekane kama vile wanapigania maslahi ya wanawake na ya jamii kwa ujumla ili mradi tu wanawake wafanye yale wanaume wanayoyataka
 
Aliye kuoa amepata hasara kubwa mno. Na kama hujaolewa, hitaplara wa kukuona kisha mkadumu.

Pole sana.
Ifikie pahala wanaume mkubali tu kwamba yote mnayoyapigania ni kwa maslahi yenu na si ya wanawake wala ya tyyg acheni hizi propaganda zenu za mwaka 47 siku hizi wanawake wana akili, maana kila ukiuliza madhara ya feminism kwa wanawake wenyewe hakuna mwenye majibu yaliyonyooka utaletewa kiswahili kirefu halafu mwisho wa siku utagundua hayo madhara ni kwa wanaume, ila wanaume wanatumia self serving reverse psychology trick ili ionekane kama vile wanapigania maslahi ya wanawake na
 
Jamii yetu kama kawaida ita ignore this, wako busy na umbea na michezo.
Until damage itakapoanza kuwa kubwa kuliko ndipo wataanza kupiga kelele when it too late
Bro,things are getting very serious. Kuna raia wa kigeni wapo mzigoni humo mavyuoni,wapo busy kushinikiza mafunzo ya equal genders. Nadhani tunapoelekea sasa ni kuwa kama Kenya na South Africa maana kule saa hii jamii imesha changamana na Mashoga kila sehemu, wasimbe ndio wapo kwenye nyadhifa za uongozi halafu ndio role models wa watoto wa kike,yaani ideology za hovyo ndizo zinapewa airtime.

Hapo South Africa si ndio maana wanaijeria wakienda ndio wanawala sana mabinti wa kule maana wanaume walileta us*ng* wa kucheka cheka na hizi itikadi za kimagharibi hadi zikashika speed zimewapunguza uwezo na umuhimu wao hadi wanawake zao wanawadharau.

Tunatakiwa kuwa wakali sana sisi kama wanaume. Watakaokuja teseka ni mabinti zetu, wajukuu zetu wa kike na kujutia kwanini sisi tulitazama tu wakati hawa mafeminist uchwara wenye ma'trauma ya utoto, malezi ya masingle mother,wasiofanya ibada wanakitafuta namna ya kutuharibia jamii yetu nzuri ya kitanzania na kuwapotosha wanawake zetu wenye ari ya mahusiano na nia ya kujenga familia bora.
 
Ifikie pahala wanaume mkubali tu kwamba yote mnayoyapigania ni kwa maslahi yenu na si ya wanawake wala ya jamii acheni hizi propaganda zenu za mwaka 47 siku hizi wanawake wana akili, maana kila ukiuliza madhara ya feminism kwa wanawake wenyewe hakuna mwenye majibu yaliyonyooka utaletewa kiswahili kirefu halafu mwisho wa siku utagundua hayo madhara ni kwa wanaume, ila wanaume wanatumia self serving reverse psychology trick ili ionekane kama vile wanapigania maslahi ya wanawake na ya jamii kwa ujumla ili mradi tu wanawake wafanye yale wanaume wanayoyataka
Shida ambayo naiona kwako ni kuamini kwamba you are very smart and articulate in a positive manner but usichokijua kila unapotengeneza hoja zako tayari unaonyesha wazi how miseducated, misinformed, and compromised you are in this area of life.

Okay, let us suppose kuwa wanaume tunachokipigania ni kwaajiri yetu pekee na si wanawake. So unaweza kunambia wanaume tuna matakwa gani ambayo wewe umeyaona yakijirudia mara kwa mara kwenye hizi mada? Hebu leo useme nione kama kweli hata unajua wanaume wanataka nini na kipi wanakosa hadi kila kukicha tunaandika topic za kukemea mambo ya wanawake yasiyotakiwa.
 
Bro,things are getting very serious. Kuna raia wa kigeni wapo mzigoni humo mavyuoni,wapo busy kushinikiza mafunzo ya equal genders. Nadhani tunapoelekea sasa ni kuwa kama Kenya na South Africa maana kule saa hii jamii imesha changamana na Mashoga kila sehemu, wasimbe ndio wapo kwenye nyadhifa za uongozi halafu ndio role models wa watoto wa kike,yaani ideology za hovyo ndizo zinapewa airtime.

Hapo South Africa si ndio maana wanaijeria wakienda ndio wanawala sana mabinti wa kule maana wanaume walileta us*ng* wa kucheka cheka na hizi itikadi za kimagharibi hadi zikashika speed zimewapunguza uwezo na umuhimu wao hadi wanawake zao wanawadharau.

Tunatakiwa kuwa wakali sana sisi kama wanaume. Watakaokuja teseka ni mabinti zetu, wajukuu zetu wa kike na kujutia kwanini sisi tulitazama tu wakati hawa mafeminist uchwara wenye ma'trauma ya utoto, malezi ya masingle mother,wasiofanya ibada wanakitafuta namna ya kutuharibia jamii yetu nzuri ya kitanzania na kuwapotosha wanawake zetu wenye ari ya mahusiano na nia ya kujenga familia bora.
Hiyo kitu imea aim kubomoa msingi wa familia wa mtu mweusi ili iwe rais kutawalika.
Its similar thing walichofanya na black america kule Us, kubomoa msingi wa familia, familia ikishabomoka, prisons zitapata wateja. Itachukua time tena mtu mweusi kurudi kwenye hali yake
 
Kinacho nishangaza hizo haki wanazo dai ni kwenye haki za kupokea tu lakini haki za kuwajibika hizo huwezi kusikia wakuzidai.
Mfano utasikia wanadai haki za kufanya kazi na kupokea mishahara kama wanaume lakini huwezi kusikia wanadai haki ya kubeba majukumu ya kifamilia kama mwanaume.
 
Ifikie pahala wanaume mkubali tu kwamba yote mnayoyapigania ni kwa maslahi yenu na si ya wanawake wala ya jamii acheni hizi propaganda zenu za mwaka 47 siku hizi wanawake wana akili, maana kila ukiuliza madhara ya feminism kwa wanawake wenyewe hakuna mwenye majibu yaliyonyooka utaletewa kiswahili kirefu halafu mwisho wa siku utagundua hayo madhara ni kwa wanaume, ila wanaume wanatumia self serving reverse psychology trick ili ionekane kama vile wanapigania maslahi ya wanawake na ya jamii kwa ujumla ili mradi tu wanawake wafanye yale wanaume wanayoyataka
Je, mwaka 1947 jamii ya mtanzania ilikuwa hovyo ukilinganisha na ya sasa ya 2024, hivi unaweza ukasimama kabisa mbele ya umati wa watu useme kuwa jamii ya mtanzania ya sasa ime improve eneo la ustawi wa jamii?

1. Ushoga na wasagaji
2. Masingle mothers
3. Marioo na wadangaji
4. Watoto wenye baba watatu kwa wakati m'moja
5. Kutawanyika kwa familia ya baba mama na watoto.
6. Watoto wasiojua ibada ya msikiti wala kanisa
7. Wanawake wasiojua majukumu yao hadi wakiolewa wanakuwa viwete wa majukumu bila msaada wa House girl.

Hivi wewe unajua hata unachokisema wewe?

Unajua utakuja kuugua wehu wewe mtoto wa mzee fulani wewe.
 
Ifikie pahala wanaume mkubali tu kwamba yote mnayoyapigania ni kwa maslahi yenu na si ya wanawake wala ya jamii acheni hizi propaganda zenu za mwaka 47 siku hizi wanawake wana akili, maana kila ukiuliza madhara ya feminism kwa wanawake wenyewe hakuna mwenye majibu yaliyonyooka utaletewa kiswahili kirefu halafu mwisho wa siku utagundua hayo madhara ni kwa wanaume, ila wanaume wanatumia self serving reverse psychology trick ili ionekane kama vile wanapigania maslahi ya wanawake na ya jamii kwa ujumla ili mradi tu wanawake wafanye yale wanaume wanayoyataka
Kwa hiyo kumbe wanawake wa siku hizi wana akili ndo maana wamekuwa wazinzi, masingo mother na wamekuwa na viburi ,hizo ndo akili unazo ziongelea?

Kama una watoto wa kiume subiri wakue wakutane na mijambazi iliyo lishwa mawazo ya kifenist iwapige matukio ndo utaelewa ubaya wa hawa wapuuzi.
 
Bro,things are getting very serious. Kuna raia wa kigeni wapo mzigoni humo mavyuoni,wapo busy kushinikiza mafunzo ya equal genders. Nadhani tunapoelekea sasa ni kuwa kama Kenya na South Africa maana kule saa hii jamii imesha changamana na Mashoga kila sehemu, wasimbe ndio wapo kwenye nyadhifa za uongozi halafu ndio role models wa watoto wa kike,yaani ideology za hovyo ndizo zinapewa airtime.

Hapo South Africa si ndio maana wanaijeria wakienda ndio wanawala sana mabinti wa kule maana wanaume walileta us*ng* wa kucheka cheka na hizi itikadi za kimagharibi hadi zikashika speed zimewapunguza uwezo na umuhimu wao hadi wanawake zao wanawadharau.

Tunatakiwa kuwa wakali sana sisi kama wanaume. Watakaokuja teseka ni mabinti zetu, wajukuu zetu wa kike na kujutia kwanini sisi tulitazama tu wakati hawa mafeminist uchwara wenye ma'trauma ya utoto, malezi ya masingle mother,wasiofanya ibada wanakitafuta namna ya kutuharibia jamii yetu nzuri ya kitanzania na kuwapotosha wanawake zetu wenye ari ya mahusiano na nia ya kujenga familia bora.
Unapozungunzia masuala ya feminism, na drama zingine zihusuzo, acha kuingiza ushoga au mashoga, hawahusiki na hilo kabisaa.
Kwani lazima kuoa au kuolewa? Au lazima unachotaka wee ndo na wengine wafanye? Em stick na life lako bhana, kutwaa kujaza server na hizo essay zako, na bado hao unao wapigania hawakuelewi.

Wee si utafute mwanamke unayeona anakufaa ishi nae, hawa wengine waache wajipambanie wenyewe, wee vipi?
Zungumzia masuala uyatakayo, ila usihusishee ushoga kabisaa, khaaaaah.
 
Je, mwaka 1947 jamii ya mtanzania ilikuwa hovyo ukilinganisha na ya sasa ya 2024, hivi unaweza ukasimama kabisa mbele ya umati wa watu useme kuwa jamii ya mtanzania ya sasa ime improve eneo la ustawi wa jamii?

1. Ushoga na wasagaji
2. Masingle mothers
3. Marioo na wadangaji
4. Watoto wenye baba watatu kwa wakati m'moja
5. Kutawanyika kwa familia ya baba mama na watoto.
6. Watoto wasiojua ibada ya msikiti wala kanisa
7. Wanawake wasiojua majukumu yao hadi wakiolewa wanakuwa viwete wa majukumu bila msaada wa House girl.

Hivi wewe unajua hata unachokisema wewe?

Unajua utakuja kuugua wehu wewe mtoto wa mzee fulani wewe.
Wee ndo tayari ushakua mwehu, unahangaika na mambo yaliyo nje ya uwezo wako.
Poleee 😂😂😂😂😂😂😂
 
Mh
Unapozungunzia masuala ya feminism, na drama zingine zihusuzo, acha kuingiza ushoga au mashoga, hawahusiki na hilo kabisaa.
Kwani lazima kuoa au kuolewa? Au lazima unachotaka wee ndo na wengine wafanye? Em stick na life lako bhana, kutwaa kujaza server na hizo essay zako, na bado hao unao wapigania hawakuelewi.

Wee si utafute mwanamke unayeona anakufaa ishi nae, hawa wengine waache wajipambanie wenyewe, wee vipi?
Zungumzia masuala uyatakayo, ila usihusishee ushoga kabisaa, khaaaaah.
Mh 🌚
 
Ifikie pahala wanaume mkubali tu kwamba yote mnayoyapigania ni kwa maslahi yenu na si ya wanawake wala ya jamii acheni hizi propaganda zenu za mwaka 47 siku hizi wanawake wana akili, maana kila ukiuliza madhara ya feminism kwa wanawake wenyewe hakuna mwenye majibu yaliyonyooka utaletewa kiswahili kirefu halafu mwisho wa siku utagundua hayo madhara ni kwa wanaume, ila wanaume wanatumia self serving reverse psychology trick ili ionekane kama vile wanapigania maslahi ya wanawake na ya jamii kwa ujumla ili mradi tu wanawake wafanye yale wanaume wanayoyataka
Madhara ya feminism kwa wanawake ni kitu cha kuuliza kweli na tunaongea kila siku hapa? Ngoja nikuwekee hapa shida ipo wapi.
Feminism na feminist wameleta changamoto zifuatazo kwenye jamii yetu.

1. Ideology ya feminism imeharibu akili ya mwanamke wa kisasa wa kitanzania kuamini anatakiwa ajipambanie yeye mwenyewe na si jamii yake,si watoto wake wala wanawake wenzao. Hii tayari imeshamfanya mwanamke anayefuata u feminist kuwa chizi fresh wa jamii. Tazama hawa wa marejesho na michezo ya upatu wa kila siku mtu anatoka au kausha damu utanielewa.

2. Feminist na feminism haiungi mkono swala la familia ya baba mama na watoto,ina wafundisha wanawake kuamini kuwa maisha yao binafsi ndio kipaumbele so akipata watoto ajenge familia ya single mother households ambaye technically ni kinyume na vitabu vya dini,lakini pia inakinzana na malengo ya ustawi wajamii wa ujenzi wa taifa bora.

3. Feminism haisemi chochote juu ya vitu negative wanavyofanya wanawake wa kisasa kwenye jamii more importantly feminist hawana ajenda za kuwajenga wanawake na kuwapa mtazamo chanya wa kijamii, badala yake ukimya wake ni sapoti ya tabia zote za hovyo mfano utoaji mimba,umalaya,udangaji, ulaghai wa mahusiano, kutelekeza watoto walelewe na house girl, wizi wa pesa za wanaume,usagaji,ulevi,ulaji mbaya unaosababisha wanawake kuwa muonekano wa viboko wa katavi na kuathiri hata afya zao za uzazi na kadhalika.

4. Feminism sio ideology ya kumkomboa mwanamke sababu ukitazama maudhui yake si ya kumkomboa bali kumpa mwanamke harakati ambazo hazina msaada kwenye jinsia yake na mbaya zaidi kumtoa katika ramani ya jamii. Tazama wanawake hawaki nyumbani wanawaachia house girls wakidai wankwenda kutafuta, huko kwenye kutafuta majority wanajenga mahusiano mapya badala ya kushimu ndoa zao na kufanya kazi kama walivyodai wanataka, wakipata mapato hawataki kujenga familia zao wanataka kujitenga na kujijenga binafsi. Sasa hapo mwanamke anakombolewa vipi zaidi anazidi kufutwa kwenye jamii na kuwa kiumbe kisicho na sehemu au role maalumu kwenye jamii.

5. Feminism sio idea ya jamii yetu ya kitanzania wala kiafrika ni zao la ma'zionists ambao ndio wale wale wapo nyuma ya movement za LGBTQ, nyumba ya gender reassignment programs na left wings woke agendas mambo ya kishetani yote kwao ni okay so siwezi kushangaa kwann wanafosi hili la feminism afrika ili wawatumie wanawake kama daraja kuzisambaratisha jamii za kiafrika.

6. Feminism kwa Tanzania kupitia ideology zake imetengeneza masingle mother wengi sana. Sasa sijui kwako kama usingle mother ni mafanikio kwa mwanamke.

7. Feminism imeteka akili mabinti wengi wa miaka ya 1980 na 1990 na kuwafanya wapoteze muda wao muhimu (prime years from 16 to 26) wakichase dreams na 💰 ili wawe maboss ladies na kujikuta wakiamka kutoka katika usingizi huu wakiwa na miaka 30 kwenda juu,hawajawa maboss lady,broke, no conducive cash flow, hawana anwani,hawana ndoa,hawana familia,hawana mume wala watoto, heshima hawana zaidi ya rekodi chafu ya kubadili vitanda (midfielders wa lodge) wanajua kuta nyingi za lodge kulika kuta za kanisa. Kwa kifupi feminism imewapoteza njia.

8. Feminism ni brainwashing scheme inayolenga kutengeneza cults za Wanawake wenye trauma mbali mbali za kimaisha kujikubali na kumshirikisha shetani kama MUNGU wao kwa maana culture ya feminism haiwaruhusu kutumia muongozo wa MUNGU huyu wa Abraham. Watazame mafeminist wengi utaona wana move kama kikundi cha talebanians.

9. Feminist wengi hawajui nini maana ya kuwa mwanamke na hii ni matokeo ya hii ideology kuwapumbaza na kuwatoa kwenye reli ya uanamke. By average feminist ukimwambia kulea mtoto anasema ni utumwa,ila atapiga kijijini simu aletewe mtoto wa mwanamke mwenzake aje mjini kumpikia,kumlelea mtoto, kumfanyia usafi wa nyumba nzima,kumtuma dukani mara 100 kwa siku yote kwa mshahara wa 30,000 ambao atamkata 10,000 kwa kosa la kuunguza nyama sababu alikuwa anambeleza mtoto wake mwenyewe na kupitiwa na usingizi ila yeye akaita uzembe. Huyu ndio mkombozi wa wanawake na anajua thamani ya mwanamke au ni feminism imetengeneza vichaa wa jamii wanaokandamiza zaidi uanamke.

10. Ukiwatazama wanawake mafeminist wengi hawana furaha na hata takwimu zimeshaonyesha hilo. Kinyume na matarajio, feminism iliwaahidi wanawake liberation kwenye maisha nje ya mfumo dume but haikuwaambia kuwa liberation huja na gharama na mizigo na majukumu zaidi. Kujitegemea sio rahisi kwa mtegemezi.

Wanawake wasasa wanahangaika kama mtu aliyelala chumba chenye joto kali huku akiutafuta usingizi kwa kujipepea na gazeti.

Akijipepea usingizi unakuja, usingizi ukikolea mkono unaacha kujipepea anastushwa na joto,and the cyle continues. Maisha ya mwanamke na mwanaume ni mwanamke kulala huku mwanaume akipepea asikatishe usingizi wake hadi kukuche.

Feminism ikawa danganya na ndio maana saa hii mnaomba hela sana kwasababu you are out here on your own wanaume wamestuka hawataki kutumika kama ATM mkiwa na shida mnakuja na vichanjio kudraw hela ambazo hamkuweka.

11. Feminism ideology imewacorrupt watoto wa kike kuamini kuwa wao ndio wenye maamuzi ya mwisho ya miili yao to the point kwamba wanafanya vitendo vyenye irreversible side effects in the name of "my body my choice". Kutoa mimba, kulala na wanaume wengi kunakosababisha mangojwa makali ya STDs,kuingiliwa kinyume na maumbile kiasi kwamba inavuruga utaratibu wa kujifungua kawaida na matokeo yake wanatumia operation delivery na kulimit kiwango cha watoto mwanamke anaweza kutengeneza na mwanaume.

Madhara ni mengi, unajitoa ufahamu tu hapa
 
Ifikie pahala wanaume mkubali tu kwamba yote mnayoyapigania ni kwa maslahi yenu na si ya wanawake wala ya jamii acheni hizi propaganda zenu za mwaka 47 siku hizi wanawake wana akili, maana kila ukiuliza madhara ya feminism kwa wanawake wenyewe hakuna mwenye majibu yaliyonyooka utaletewa kiswahili kirefu halafu mwisho wa siku utagundua hayo madhara ni kwa wanaume, ila wanaume wanatumia self serving reverse psychology trick ili ionekane kama vile wanapigania maslahi ya wanawake na ya jamii kwa ujumla ili mradi tu wanawake wafanye yale wanaume wanayoyataka
mmh
 
Back
Top Bottom