pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Asibitishe sasa
Kumbe na wewe umeligundua hilo?
Ili pia kusaidia channel 10 yao inayoonyesha live hilo bunge ipate viewers.Huo ni mpango maalum uliopangwa kishamba ili kuwapumbaza watanzania na kuwaaminisha kuwa bunge hili ni sawa na lililopita lenye wapinzani.
Hiyo ni kete ya Ndugayi kuwahadaa watanzania kuwa bunge lipo active kumbe ni sawa na kikao cha wana ccm tu
Huyu naibu naye kaingia kwa kura za mabegiMbunge wa viti maalumu, Felister Njau amepewa siku saba kuthibitisha kauli yake aliyoitoa bungeni kuhusu kukamatwa kwa mabegi matano ya kura wakati wa uchaguzi mkuu 2020.
Felister ametakiwa kupeleka uthibitisho huo na naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson leo Jumatano Februari 3, 2021 kutokana na kauli yake hiyo aliyoitoa bungeni wakati akichangia hotuba ya Rais John Magufuli ya ufunguzi wa Bunge la 12.
My Take
CCM wamepita kwa wizi wa kura, Covid19 wamepita kwa wizi wa vifungu vya katiba. Ngoma droo
Hao watabaki kuwa wabunge wa CCM kupitia hisani ya ndungai na si vinginevyoWameambiana kuwa wakianzisha hizo episode ndio watapata mvuto. Kumbe tumeshawapotezea muda tu.
Halina mvuto hadi wamewaalika Simba ingalao lichangamke kidogoLeo umefuatilia Bunge la CCM?
Maccm yanajalibu kujitengenezea Kiki ili wananchi wapate shauku ya kufatilia Bunge lakini aaawapi!Yanakubaliana kutengeneza matukio halaf baadaye Yanajifanya kuyatatua.
Hio ni kamati ya Ccm,Itoshe tu kusema lipo pale kama mhuri tu wa kupitisha mahitaji ya jiwe
Samahani, hamu ya kuangalia bunge live haipo.Mbwa kala mbwa, Bunge lenyewe halina mvuto,ni ngenge la jiwe liko pale kupitisha atakacho jiwe
Kuvumilia njaa ni kazi kubwa sana, hata wanaume wanashindwa.Hawa Covid-19 walishindwa kuvumilia miaka 5 bila ya ajira wakaona wajitose kwa vyovyote vile
huyo ni viti maalum CCM au wabubge wa COVID 19? kama ni covid19 nyie pro chadema mmeshawapitisha?Mbunge wa viti maalumu, Felister Njau amepewa siku saba kuthibitisha kauli yake aliyoitoa bungeni kuhusu kukamatwa kwa mabegi matano ya kura wakati wa uchaguzi mkuu 2020.
Felister ametakiwa kupeleka uthibitisho huo na naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson leo Jumatano Februari 3, 2021 kutokana na kauli yake hiyo aliyoitoa bungeni wakati akichangia hotuba ya Rais John Magufuli ya ufunguzi wa Bunge la 12.
My Take
CCM wamepita kwa wizi wa kura, Covid19 wamepita kwa wizi wa vifungu vya katiba. Ngoma droo
Na zile Biblia na Misahafu wanazoshika wakati wakila viapo!!Yanakubaliana kutengeneza matukio halaf baadaye Yanajifanya kuyatatua.
double chance,either A or B can winKwenye Kubet Tunaita Both Teams To Score.
Acha wafu wazike wafu wenzao,hao covid 21 ni ccm BMbunge wa viti maalumu, Felister Njau amepewa siku saba kuthibitisha kauli yake aliyoitoa bungeni kuhusu kukamatwa kwa mabegi matano ya kura wakati wa uchaguzi mkuu 2020.
Felister ametakiwa kupeleka uthibitisho huo na naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson leo Jumatano Februari 3, 2021 kutokana na kauli yake hiyo aliyoitoa bungeni wakati akichangia hotuba ya Rais John Magufuli ya ufunguzi wa Bunge la 12.
My Take
CCM wamepita kwa wizi wa kura, Covid19 wamepita kwa wizi wa vifungu vya katiba. Ngoma droo
Mkuu uko sahihi. Kuna mtu nje ya Jengo anatafutwa. Huyu Mbunge atakuja kusema yeye aliambiwa aseme hivyo na huyo anaetafutwa. Kisha wezi halisi wa kura (ccm) watautua huo mzigo na kumbebesha huyo anayetafutwa. Kisha Mbunge yule ataambiwa akanushe kisha awatake radhi Bunge kwa niaba ya Wapiga kura.Maigizo tu hayo!!
Wewe si ndiye uliyewabatiza?? Utakosa sadaka/matoleo/fungu la kumi.Unaweza kudhani ni kusanyiko la walevi fulani!
Halafu atafungiwa kuhudhuria vikao vitatu kwa kusema uongo......bure kabisa hawa Bawacha wawili mtoa hoja na aliyepo kitini jirani na siwa!