Feitoto aituliza nchi

chuuma

JF-Expert Member
May 19, 2015
363
557
Feisal ni kijana mashuhuri kutoka Zanzibar , ni kijana mwenye uwezo mkubwa na mara zote huwa na juhudi na kuyafikia malengo aliyojiwekea.

Leo katika mchezo wa Azam vs Yanga kijana huyu alimaarufu kwa jina la "Feitoto" aibuka shujaa dimbani, baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi na kuipatia alama tatu mhimu

Lakini pia kijana huyu mahili ameifanya nchi yetu kuwa na utulivu katika kipindi hiki mhimu cha mfungo.

Neno moja kwa kijana wetu

IMG-20240317-WA0099.jpg
 
Alisikika akisema "Sina tatizo na Yanga, nina tatizo na Engineer Hersi, akiondoka nitarudi kuchezea Yanga"
Yanga timua Eng ili mumrudishe mchezaji wenu mwenye uwezo wa hali ya juu sana kwa sasa🤣🤣
 
Alisikika akisema "Sina tatizo na Yanga, nina tatizo na Engineer Hersi, akiondoka nitarudi kuchezea Yanga"
Yanga timua Eng ili mumrudishe mchezaji wenu mwenye uwezo wa hali ya juu sana kwa sasa🤣🤣
Wasimrushie tu majini kama mayele
 
Alisikika akisema "Sina tatizo na Yanga, nina tatizo na Engineer Hersi, akiondoka nitarudi kuchezea Yanga"
Yanga timua Eng ili mumrudishe mchezaji wenu mwenye uwezo wa hali ya juu sana kwa sasa🤣🤣
Hahahaha
 
Back
Top Bottom