PESA INA MAJINA MENGI KULINGANA NA MAHALI NA MATUMIZI 1.Kwenye ibada inaitwa Zaka/sadaka 2.Msibani inaitwa rambirambi 3.Shule inaitwa Ada au Karo 4.Kwenye vyombo vya usafiri inaitwa nauli 5.Ukiinunulia haki inaitwa rushwa 6.Kumdhamini mtu mahakamani inaitwa dhamana
7.Kwenye uchaguzi inaitwa takrima
8.Ukiwapa kina Pretasnowhite inaitwa hongo