Ngigana
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 2,102
- 1,436
Inavyoonyesha BAE system wamesema pesa watazipelekwa kwa NGO (charity organisation); nimemsikia Membe akifura kwa hili analalamika kuwa inaonekana hatuaminiwi. Yeye ataka pesa zirudishwe serikalini moja kwa moja; lakni wao wamegoma watazipa charities mbalimbali za hapa TZ:dance: