Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Membe nadhani ana ugonjwa wa akili!
BAE iliingia Hazina na kuiba pesa? Kwa nini asimuulize Andrew Chenge na Benjamin Mkapa ni kitu gani walichofanya badala ya kubwatuka tu?
Mahakama ilitoa hukumu kuwa hizo pesa ilipwe serikali ya Tanzania moja kwa moja?
W.t.f Membe?
BAE iliingia Hazina na kuiba pesa? Kwa nini asimuulize Andrew Chenge na Benjamin Mkapa ni kitu gani walichofanya badala ya kubwatuka tu?
Mahakama ilitoa hukumu kuwa hizo pesa ilipwe serikali ya Tanzania moja kwa moja?
W.t.f Membe?