Fedha za Radar Kurudishwa: Mgogoro kati ya BAE, TZ na UK

Katika hali inayoshangaza wabunge kadhaa wakiongoza na naibu spika mh. job ndugai wamekwenda london kufuatilia malipo ya pesa zilizotumika kununulia rada feki!
hivi wanajf tujiulize mbona downs walivyofungua kesi wakidai fidia sikuona jitihada kama hizi kuokoa taifa! mh. membe bila aibu ya kujua kuwa walioingia mkataba huo uliothibitika kuwa ulijaa rushwa hawajachukuliwa hatua na wanapeta! hivi serikali inapata wapi guts za kudai hizo pesa na ilhali haikufanya jitihada zozote kufuatilia tuhuma hizo za rushwa ikaiachia serekali ya malkia kufanya hivyo! BAE kukataa kuilipa serikali ya tanzania wana kila sababu ya kufanya hivyo, sababu hakuna cha maana ambacho serikali itafanya kupitia hzo pesa! hebu tukumbuke stimulus package, mabilioni ya kikwete, kilimo kwanza nk. acountability iko wapi?
 
Wapendwa atakayeweza kupata takwimu hii safari ya kifisadi ya wabunge kwenda Uk kufuatilia hela za rada imetumia hela ngapi atujuvye. Si ajabu matumizi yao yakazidi hela waliyoifuatilia. Kwa tanzania si ajabu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Itolewe kwa NGO/charity organisations maana zikiwekwa serikalini watagawiana posho etc
 
Akina chenge wanaranda mitaani. kazi kweli kweli. Ila si kweli kuwa hawatafanyia cha maana hasa ukizingatia huu mwamko wa waTZ.
 
Wapendwa atakayeweza kupata takwimu hii safari ya kifisadi ya wabunge kwenda Uk kufuatilia hela za rada imetumia hela ngapi atujuvye. Si ajabu matumizi yao yakazidi hela waliyoifuatilia. Kwa tanzania si ajabu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Itolewe kwa NGO/charity organisations maana zikiwekwa serikalini watagawiana posho etc
Holy crap. Ukiwa umevuta usiwe unaandika na kupost threads humu.
 
Mimi binafsi kwanza nakubaliana na uamuzi wa kurudisha fedha (change ya rada) lakini anapewa nani?kama ni serikali ya ccm hapana! Lakini jana membe wakati anatoa hotuba yake alionekana ni mtu ambaye anaijua vizuri dili ya rada na anataka watu waning'inizwe haswa,na akahamasisha wananchi wote tusimame kidete (tuandamane sijui?sijui polisi watakuwepo?tutavaa mgwanda ya cdm au kijani ya ccm? Maswali haya membe inabidi ajibu) lakini pia anasema tusikubali watanzania kudharauliwa hata kama nchi yetu ni masikini, kwanza hii ni mara ya kwanza?filamu ya mapanki ameisau?ambayo serikali yake hiihii ilikanusha lakini ukweli ndio huu,isije ikawa msimamo huu ni wenye ajenda ya uraisi mwaka 2015, mbona inshu ya downs membe haukutuhamasisha tusikubali kuibiwa na watanzania wenzetu wachache ambao wako ccm?kama kweli anataka haki juu ya hili tuandamane nchi nzima bila kujali chama kupinga mafisadi wa nchi hii,je uko tayari membe? Mimi ninamashaka na msimamamo wako kama kweli unauzalendo wa kiasi hicho kwa nchi hii,zaidi naona unataka kujitokeza rasmi kuwa wewe ni mgombea uraisi mwaka 2015,kama mngekuwa na msimamo kiasi hicho nchi hii isingeingia kwenye mikataba mibovu ya wawekezaji kama kweli hamtaki kudhalauliwa lakini walishawona viongozi wa tanzania ni maboya na wezi ndio maana wakasema zipite kwenye ngo's za uk zinazofanya kazi tanzania,hilo pia siliungi mkono pia labda zipelekwe moja kwa moja kwenye akaunt ya bodi mikopo ya wanafunzi lakini zikipita kwenye mikono ya serikali ya ccm wizi mtupu,zile za epa zilizorudishwa ziko wapi mpaka saizi?anazo nani?je anaweza kutupatia mchanganuo wa matumizi?membe acha kutulaghai kwa kujifanya leo unauchungu sana na wizi wa mali za uma wakati unaajenda yako ya uraisi 2015 mm binafsi nashindwa kukutofautisha wewe na kikwete kwa sababu sioni jipya kutoka kwako zaidi ya kuangalia maslahi yako achaaa,sio mzalendo kihivyo membe wewe toka lini???????????????????
 
Hiyo hela irudi serikalina jamani, ikirudi serikalini itawanufaisha wengi ukilinganisha na kwenye NGO kwa sababu ngo zina preorities zao tofauti na serikali, pia tujue kuwa si kila mtu serikalini ni mwizi, lets talk positive of our nation not always negative, HII NCHI NI YETU WOTE NA SISI NDO TUTAIJENGA AU KUIBOMOA, HAKUNA MTU MWENYE HATI MILIKI YA HII NCHI
 
Hiyo hela irudi serikalina jamani, ikirudi serikalini itawanufaisha wengi ukilinganisha na kwenye NGO kwa sababu ngo zina preorities zao tofauti na serikali, pia tujue kuwa si kila mtu serikalini ni mwizi, lets talk positive of our nation not always negative, HII NCHI NI YETU WOTE NA SISI NDO TUTAIJENGA AU KUIBOMOA, HAKUNA MTU MWENYE HATI MILIKI YA HII NCHI

Hawezi kurudi serikalini. Inawezekana wewe ni mmoja kati ya wale mnaoshidmwa kutofautisha kati ya kurudishiwa fedha na reparations. Kama fedha zilikuwa zinarudishwa, then serikali ingestahili kupewa hizo fedha. Lakini kinacholipwa hapa ni reparations kwa waadhirika ambao ni sisi Watanzania. Tofautisha kati ya kurudishiwa fedha na kulipwa reparations. Ni vitu viwili tofauti. Mahakama haikuamua kuwa fedha zirudishwa, bali Watanzania walipwe reparations. Soma post yangu kwenye hii thread nimefafanua zaidi: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-fedha-za-radar-wasipewe-tena-serikali-6.html. Pia soma gazeti la The Citizen hapa: BAE CASH NOT A REFUND.
 
Wa Tz bwana, tumefikia mahala hatuaminiki na wafadhili wetu.

Ni kama mtoto wako anasoma shule na ukagundua ukimpa hela ya ada na matumizi anakula halafu unabaki unadaiwa. Dawa hapo ni kulipa moja kwa moja benki, na inayobaki ya matumizi yake, mpe head master wake. Akitaka kuchukua maelezo mpaka yamtosheleze mwl wake. Ndiko tulikofika wa Tz wenzangu.

Nasema leo hii Mwl Nyerere akifufuka akutane na haya mauozo kwenye serikali aliyoiasisi kweli nakuambia ndo atakufa jumla kabisaaa!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Wa Tz bwana, tumefikia mahala hatuaminiki na wafadhili wetu.

Ni kama mtoto wako anasoma shule na ukagundua ukimpa hela ya ada na matumizi anakula halafu unabaki unadaiwa. Dawa hapo ni kulipa moja kwa moja benki, na inayobaki ya matumizi yake, mpe head master wake. Akitaka kuchukua maelezo mpaka yamtosheleze mwl wake. Ndiko tulikofika wa Tz wenzangu.

Nasema leo hii Mwl Nyerere akifufuka akutane na haya mauozo kwenye serikali aliyoiasisi kweli nakuambia ndo atakufa jumla kabisaaa!

Mkuu badala ya kuishia tuu kulalamika chukua hatua. Nyerere hatuko naye pia and we wont get any help from him now. Chukua hatua kwa kufuata hii thread: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ya-fedha-za-radar-wasipewe-tena-serikali.html
 
Nimewaomba BAE kama hawataweza kuhimili presha ya serikali yao na yetu basi wazirudishe ktk serikali yetu lakini siyo kwa sasa.

Wasubiri mpaka baada ya uchaguzi wa 2015 maana pesa hii siyo sehemu ya bajeti yetu. Hii pia itasaidia kupunguza mikono ya mafisadi waliohusika ktk serikali hii ambao bado wanazisubiri kuzidaka.

Muhimu kabisa kwa sasa kama wanatusikia bora wazinunue magari ya wagonjwa ikimaanisha kila wilaya itapata gari zuri la sh mil 200 na hospitali za mikoa zitapata gari moja moja.

Hapo tusubiri Membe akatae kupokea magari ya wagonjwa wakati wanapanga kutununulia bajaji.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom