Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Mwenye uhakika atujuze,kwamba bank ya makabwela kupitia wafanyakazi wake wasio waaminifu wamekuwa wakipokea pesa bandia kutoka kwa watu wanaozitengeneza/sambaza na kuziingiza kwenye mzunguko wa kawaida hata kwenye ATM pale wanapopewa chochote (pesa).Kwamba ukiwa na milioni 20 bandia anakupa 10m pesa halisi.MCHEZO HUU ULIKUWEPO MIEZI 3 ILIYOPITA NA INASEMEKANA WALISHTUKIWA (BENK) baada ya taasisi moja kwenda kuchukua pesa za mishahara ya wafanyakazi wake na wakapewa pesa hizo bandia