Fedha bandia NMB bukoba

Shaycas

JF-Expert Member
Feb 13, 2009
906
110
Mwenye uhakika atujuze,kwamba bank ya makabwela kupitia wafanyakazi wake wasio waaminifu wamekuwa wakipokea pesa bandia kutoka kwa watu wanaozitengeneza/sambaza na kuziingiza kwenye mzunguko wa kawaida hata kwenye ATM pale wanapopewa chochote (pesa).Kwamba ukiwa na milioni 20 bandia anakupa 10m pesa halisi.MCHEZO HUU ULIKUWEPO MIEZI 3 ILIYOPITA NA INASEMEKANA WALISHTUKIWA (BENK) baada ya taasisi moja kwenda kuchukua pesa za mishahara ya wafanyakazi wake na wakapewa pesa hizo bandia
 
Duh.. yaani Tanzania ndio inaishia hivyo.. hivi ni kwanini siku hizi watu wanafanya vitu vya ajabu sana makazini tena hata bila uoga wowote?
Hii nchi ilipo na inapoelekea sio kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom