Hahahaa Ila Dembele ni Bonge la MchezajiDDortmund wanasema Barca wakae mbali na Dembele, hawauzi!
Mimi Namtizama Sana Verrati asee Ni muhimu sana!Msimu huu tukimpata Verrati na Semedo roho yangu itatulia.
Deal ya Lucas Lima imekamilika. Anasubiri kutangazwa tu. Atakuja January mkataba na Santos ukiisha. Watu fans wengi hawajafurahia ujio ila jamaa anakipaji na anaweza kuwa mtu muhimu sana kwa timu.
Mimi Namtizama Sana Verrati asee Ni muhimu sana!
Verrati Barca atakuja ni Dream team yake, ni Natural Blaugrana yule!Mimi kila nikisikia habari za baby face killer verrati mnyama roho inasisimuka aje kwanza yeye wengine watakuja namkubali sana yule mwamba
Dogo yuko poa sana. Sema barca walimtaka Dembele kwaajili ya future na vile walimkosa mwaka jana ila hatuna tatizo la winga kwa sasa.Kama dortmund wanazngua
Kwann tusimchukue ata Innack William wa pale bilibao
Sasa mkuu mbona hata William nae ni mdgo sana ana 21 years nae kma ni for future angefaa piaDogo yuko poa sana. Sema barca walimtaka Dembele kwaajili ya future na vile walimkosa mwaka jana ila hatuna tatizo la winga kwa sasa.
aende tu hata bure aendeBeki wetu mpendwa. Mathieu naona anaelekea Sporting Lisbon.
Sijui Wanaosema eti P.Dybala ndo mrithi wa messi sijui Tuwa Describe vipiMessi katimiza miaka 30,ndani ya miaka 3 tu toka sasa dunia itakosa kitu adimu sana katika soka,huenda kiumbe cha uwezo huu kitakuja tena baada ya miaka kama 30 ijayo wengi humu huenda hatutakuwa hai tena!!Jihesabie ulikuwa mwenye bahati sana kuwahi kumuona Messi akicheza.Barca mmejiandaaje maisha bila Messi???Njia rahisi ya kujiandaa....expect no another Messi for the rest of your life.