FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Deal ya Lucas Lima imekamilika. Anasubiri kutangazwa tu. Atakuja January mkataba na Santos ukiisha. Watu fans wengi hawajafurahia ujio ila jamaa anakipaji na anaweza kuwa mtu muhimu sana kwa timu.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
148b7d918a39e64ea127b407b8a0f660.jpg


A landmark birthday for a special player—happy 30th, Lionel Messi
 
Messi katimiza miaka 30,ndani ya miaka 3 tu toka sasa dunia itakosa kitu adimu sana katika soka,huenda kiumbe cha uwezo huu kitakuja tena baada ya miaka kama 30 ijayo wengi humu huenda hatutakuwa hai tena!!Jihesabie ulikuwa mwenye bahati sana kuwahi kumuona Messi akicheza.Barca mmejiandaaje maisha bila Messi???Njia rahisi ya kujiandaa....expect no another Messi for the rest of your life.
 
Messi katimiza miaka 30,ndani ya miaka 3 tu toka sasa dunia itakosa kitu adimu sana katika soka,huenda kiumbe cha uwezo huu kitakuja tena baada ya miaka kama 30 ijayo wengi humu huenda hatutakuwa hai tena!!Jihesabie ulikuwa mwenye bahati sana kuwahi kumuona Messi akicheza.Barca mmejiandaaje maisha bila Messi???Njia rahisi ya kujiandaa....expect no another Messi for the rest of your life.
Sijui Wanaosema eti P.Dybala ndo mrithi wa messi sijui Tuwa Describe vipi
"i expect no another Messi for the rest of my life"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom