Ndiyo maana tulikuwa tunamtaka huyo Theo.Daaah hii free kick
Anafanya mpira uonekane rahisi sana.Huyi Messi sijui ni mtu kweli?kapiga chenga mtu tatu then kapasia Alcacer kajifungia kirahisi....!!Barca 3 Alves 1 halftime
Man Pagan bora ulale uwahi kesho sunday school.Theo Hernandez ni Real Madrid player next season
Umemuona big sam anavyowazuia watoto na Gomes anavyocheza poa leo?i ddnr expect huyu mtu ku improve hivi natamani aachwe msimu wa mwisho aendelee kujifunzaUmtiti kala yellow ya uwongo uwongo hapa.
Mwekundu nimeacha kumshabikia Messi kwa sababu imani yangu hairuhusu kushabikia vitu ambavyo vinahusishwa na nguvu za ulimwengu wa kiroho"Messi ni mchezajj pekee wa mpira dunia ambaye hapigi mpira "
Sasa mimi nakuambia ni assistant coach wa barca ,angalia mpira wa kupendeza sana second half ningependa king au Neymar apige hatrickHii game imeisha mapema mnoo aghhhh
Sam ni next level. Kuna moja amenichezea kule hadi sikuamini. Umeona gomes mashabiki wanavyomshangilia. Amechange sana gomes. Abaki kwa kweli. Ni mchezaji mzuri hajapata tu steps za mziki. Fikiria Man na RM walikuwa wanamfukuzia.Umemuona big sam anavyowazuia watoto na Gomes anavyocheza poa leo?i ddnr expect huyu mtu ku improve hivi natamani aachwe msimu wa mwisho aendelee kujifunza
Kuna ndugu mmoja anapenda kumuita Neymar hivi " Neymar junior do Santos king Pierre nkurunzinza namshtobe kipangusile kikutoboacho" huwa nafurahi sana kuchek nae gameSasa mimi nakuambia ni assistant coach wa barca ,angalia mpira wa kupendeza sana second half ningependa king au Neymar apige hatrick
Ha ha funnyKuna ndugu mmoja anapenda kumuita Neymar hivi " Neymar junior do Santos king Pierre nkurunzinza namshtobe kipangusile kikutoboacho" huwa nafurahi sana kuchek nae game