Emmanuel Alden
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 386
- 484
Incompetent commentators what a shame.Watangazaji wa Azam vilaza sana wamesifia ile pasi ya busquets mpaka wameharibu eti wakasema ni kijana aliyeletwa kuzipa pendo la xavi dah! Ina maana hawajui kuwa jamaa ni legend?
Hao watangazaji ni kama padri mcharo