FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Messi is:-

Unique
Priceless
Mesmerizing
Incredible
Brilliant
Memorable
Sensational
Fascinating
Humble
Magnificent
Perfect
Spectactular
Genius
Exceptional
Phenomenal
Wonderful
Loyal
Unforgettable
Lushvishious
Magical
Deadly
Inhuman
Enormous
Superb
Hero
Inspirational
Passionate
Consistent
 
Watangazaji wa Azam vilaza sana wamesifia ile pasi ya busquets mpaka wameharibu eti wakasema ni kijana aliyeletwa kuzipa pendo la xavi dah! Ina maana hawajui kuwa jamaa ni legend?
Hao watangazaji ni kama padri mcharo
Watangazaj wa Azam mm huwa nawaelewa sana hasa ikifika game za barca hua wanasifu mpaka sifa zinamwagikia
 
Barcelona inatisha sana na hii pace yao ndani ya dakika 30 za mwisho Betis ameloa goli 5
Suarez na Messi mmoja wao ilibidi atoke na hatrick ,mtu kama Messi in reality angekua kama ana element za u selfish hata 05% tu basi nawaambieni kila match angekua anapiga hatrick
Perfect game ,Velverde usirudie tena kumuingiza Gomez na kumuacha Paulinho nje amecheza dk 30 tumeona impact yake
Halafa Busquets utalogwa unachonga pass za kupenyeza kama ruler?
Raha sana #Forca_Barca
S.Roberto ulichokifanya leo midfielder nadhani velverde anaenda kulaumu technical eperts wake you are naturally midfielder

Semedo chaaa... speed nimeona zimesoma ulifikisha 33km /hr wakati unamkimbiza yule defender hiyo namba (RB) wewe ndio ya kwako ,una stamina ,balance ,speed,dribbling tactics etc am sure lord Penaldo asingepiga shoot hata moja ukimkaba
Uwezo wa Jordi Alba kuna muda hua nafikiri ni no 11 kumbe sio?you are the master wa kutia cross kwa speed na muda muafaka
Pique thanks kwa kulet balance ya defence
Tchao...
Perfect analysis...
 
Messi ni balaa jamani kama kawaida yake mzee wa kukusanya kijiji. Alafu wanakuja watu wamcompare na Gaucho mara oh cr7 :p:p:p king hafananishwi na mchezaji yeyote hapa ulimwenguni.


Salute kwako Mfalme!
Aisee kawanya nyasa mabeki wa Betis mpaka mafans wao wakamshangilia kama siyo kumshangaa. Mpira unampenda sana Messi10 kuliko yeye anavyoupenda...!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom