de fcb1 fan
Member
- May 20, 2013
- 14
- 2
Tim yetu mgonjwa kalalaje saiv haina wema
Sawa baba,samahani from the bottom of my heart
Kama kawa, kama dawa, kama ukawa, kama Lowassa. Vipi Mkuu, mzima wewe?
Hivi Game Ijayo tunacheza na nani?
Mimi nipo pouwa kabsaaaa na tunaisubir 25 OCTOBER pia game ijayo tunacheza na RAYO VALLECANO pale CAMP NOU
Yaani Barca anazidiwa possession na Rayo,tena nyumbani!!! Barca first and foremost ni entertainers,inaonekana huyu Enrique anai ditch hii philosopy-amesahau kwa Barca ni how you win.anaweza shinda trophies lakini come the end of the season akaonyeshwa kitambaa cheupeBado siku 10 Mkuu.
asante karbia na leo
Hivi leo anakipiga na nani mkuu? nijulishe na muda tafadhali nataka kuwaona Barca