View attachment 633279
Madrid tumewapita point 11
Ili watukute inabidi au tunatakiwa tupoteze match 4 in a row
Na wao kati ya hizo match nne wawe wanashinda tu
Sasa piga tathmini team gani nne zinaweza kutusimamisha laliga mwaka huu?ikiwa hadi sasa hivi we are invincible tumebakiza match kama tatu nne tumalize round 1
"Apply cold water to burnt wound "