Umemuona big sam anavyowazuia watoto na Gomes anavyocheza poa leo?i ddnr expect huyu mtu ku improve hivi natamani aachwe msimu wa mwisho aendelee kujifunza
Umemuona big sam anavyowazuia watoto na Gomes anavyocheza poa leo?i ddnr expect huyu mtu ku improve hivi natamani aachwe msimu wa mwisho aendelee kujifunza
Sam ni next level. Kuna moja amenichezea kule hadi sikuamini. Umeona gomes mashabiki wanavyomshangilia. Amechange sana gomes. Abaki kwa kweli. Ni mchezaji mzuri hajapata tu steps za mziki. Fikiria Man na RM walikuwa wanamfukuzia.