Anachokifanya Zidane kwa wachezaji wa Madrid castilla sicho Anachokifanya Lucho kwa wachezaji wa la masia mwangalie Munir? Sandro? Grimaldo? Na wengineo
Liondoke hil li kocha...linatumia pesa nying wakat Lina wachezaj wenye vipaj weng kupita maelezo...huyu palcio c bora Sandro...? Yaan unauza gar mpya unanunua mtumba
Mkuu halilovic ndie best player wa sporting gijon wa mwez huu...anakamua Ile mbaya...n bonge la attacking mild field...huyu anatisha sana..Sema ndo tatzo la lucho..kutumia kina gomez wasio kuwa na msaada kabsa kwenye team
Hahaha!...mkuu,kiuhalisia LEO10 ana long way kufikia GOAL-SCORING record ya CR7...maana wakati nyinyi mna furahia HEADER 22 za Messi...Madrid wanasherekea HEADER 63 za Ronaldo...ikiwemo na moja aliyofunga kweny derby juzi UEFA!!!
Hahaha!...mkuu,kiuhalisia LEO10 ana long way kufikia GOAL-SCORING record ya CR7...maana wakati nyinyi mna furahia HEADER 22 za Messi...Madrid wanasherekea HEADER 103 za Rinaldo...ikiwemo na moja aliyofunga kweny derby juzi UEFA!!!