mi naona Neymar nni figter sana. sema mechi ngumu wanamjia watatu watatu. pia anachezewa sana rafu. kungekuwa na tuzo ya rafu angechukua. paco ni mtu wa kulishwa. Turan naye hatabiriki. inaweza kuwa wazo zuri kumuanzisha Turan, amewahi fanya vema ile nafasi.
mi naona Neymar nni figter sana. sema mechi ngumu wanamjia watatu watatu. pia anachezewa sana rafu. kungekuwa na tuzo ya rafu angechukua. paco ni mtu wa kulishwa. Turan naye hatabiriki. inaweza kuwa wazo zuri kumuanzisha Turan, amewahi fanya vema ile nafasi.