Umeamua kuvaa jezi ya uswahilini sasa lol unaanza kuleta kisingizio cha jezi nyeupe lol.
sio jezi mkuu game yenu mnacheza kama mlivyo plan. Mkianza kwuashambulia hovyo watawakamata kwenye counter attack nendeni kwa hesabu hivyo hivyo kwa sasa kipindi kibaya hiki mkuu.
Pole sana kamanda Sio wewe tu mjeredi huu wa bbarca umewakumba wengi. Tunaachomba game iwe nzuri tu lakini tawkimu za kimmpira zinanyesha 90% wanategeamea barca anategemea kuondoka na kombe