Haya mambo ya kusikitisha tusiyazungumze hapa kwenye mpira.....manake uhai wa mtu na ushindi wa timu fulani au ushabiki havilinganishwi wala kutazamiwa.....pls my dear,yaani nikiskia hiyo story ya ofisa na kukumbuka yule msichana wa kenya aliyekufa after kufungwa huwa naumwa roho sana!!!