Umenisikitisha.
Nilijua hii ni thread ya wana michezo tutabishana tu enjoy michezo thats why nikaja, then now naona mnacho fanya saa hizi ni kujifanya mna nijua na mme wahi kuniona. So what!!?
Grow up
PNC 1 acha utoto, kama unataka fungua uzi wa kuni diacuss mimi na Id yangu, sikuja hapa kuku diacuss wewe.
Hata sina shida hapa mi nishafika na ntakuwepo.
Maneno yako mengine yoote nayapuuza kwa kuwa kwangu mimi si kweli