Juventus walijitutumua jana. kutoka nyuma goli mbili. ili watanue uwanja. mashabiki 41,000! sasa wakienda allianz kwa watu 75,000 si watachanganyikiwa.
President wa Barca amesema mpinzani wetu si Real Madrid tena,wapinzani sasa watakuwa timu za EPL,hasa Man City watakapokua chini ya Guadiola-kuna ukweli hapa unless Madrid wa overhaul timu karibu yote
Juventus walijitutumua jana. kutoka nyuma goli mbili. ili watanue uwanja. mashabiki 41,000! sasa wakienda allianz kwa watu 75,000 si watachanganyikiwa.