#VarmosBarca , Asante sana Mungu kwa kujibu maombi yangu, asante sana Asprin kwa kuitikia Amen Mourinho asante kwa kuwa nami maombini mpaka ukuta wa Berlin ukaanguka.
Hii game ilishakuwa ngumu kwa Barca Messi akaamua kuimaliza mwenyewe,Pep ameiharibu sana Bayern nadhani now watakuwa wanamkumbuka yule babu Juup Heykens
#VarmosBarca , Asante sana Mungu kwa kujibu maombi yangu, asante sana Asprin kwa kuitikia Amen Mourinho asante kwa kuwa nami maombini mpaka ukuta wa Berlin ukaanguka.
Hii game ilishakuwa ngumu kwa Barca Messi akaamua kuimaliza mwenyewe,Pep ameiharibu sana Bayern nadhani now watakuwa wanamkumbuka yule babu Juup Heykens