Sasa buyern atafanya, yul anapigwa nje ndani mkuu.
Nyie barcanyeto ndio mwisho hatua hii ya robo, psg anakisasi, kocha anakisasi.
Halafu we dogo wa asrse8 tupe heshima yetu.Sasa buyern atafanya, yul anapigwa nje ndani mkuu.
Nyie barcanyeto ndio mwisho hatua hii ya robo, psg anakisasi, kocha anakisasi.
Napenda sana Barca tunavyochuliwa Underdog.This is Champions league brother,Knockout games sio league.Huku form ya kwenye league weka kapuni.Bayern unaemuona mbovu bundesliga kisa now anaongoza Leverkusen ,basi ukamchukulia poa!,huku ni experience ,mentality na moments.Sasa buyern atafanya, yul anapigwa nje ndani mkuu.
Nyie barcanyeto ndio mwisho hatua hii ya robo, psg anakisasi, kocha anakisasi.
We can dream to reach final ,Tuna hio team Kwa sababu Atleti/Dortmund/PSG Hawa wote tunawamudu,ila Ubingwa mmh!.FC Barcelona ndio bingwa wa UEFA champions League mwaka huu 2024.
Tunza risiti!
We are dark horse in this tournament,tupo kama hatupo vile, ila tupo.No pressure at all Kwa sababu we are not favourites to win the tie,ukiangalia pia performance zetu zilizopita kwenye michuano hii last time to reach Quarter final ni 2020 huko,but still we believe our players, we can battle with anyone.PSG - Paris Saint-Germain Vs Barcelona hapa wanakutana Wote Unga unga,
Waswahili wanasema "Pipa Vs Mfuniko",
But to be Honest Barcelona Wana Afadhari kuliko Psg na kwenye Mechi ya Leo atakaetoka uwanjani na faida ni Barcelona,
Endapo Xavi ataingia Kwa nidhamu na kucheza Kama walivyocheza na Napoli Ugenini,
Barca wanaweza kushinda ama kudroo na hata wakipoteza basi sio Kwa idadi kubwa ya Magoli,
"Psg ni Mbappe na Mbappe ni Real Madrid, Kila la kheri kwake.
PSG utoto mwingi sanaGoal Raphina
Kabisa.PSG utoto mwingi sana
Mtakutana na Madrid na mtapigwa kama ngoma.Hey cules.
Game ya jana tumempiga PSG akiwa home.
Mechi ijayo tukikaza tukawatoa kuna uwezekano mkubwa wa kukutana na vijana wa El Cholo (ATM) nusu fainali.
Watu wengi hawatupi nafasi kutokana na changamoto tunazopitia na form yetu kutokuwa na consistency
Ikitokea tunacheza nusu fainali na Atletico kuna uwezekano mkubwa sana wa kutoboa fainali.
Vipi maoni yenu cules wenzangu ikitokea tumetoboa mpaka fainali?
Tatizo sio kukutana na Madrid final.Mtakutana na Madrid na mtapigwa kama ngoma.