Namuangalia hapa Mazihno a.k.a Thiago, anasambaza tu mapasi ya upendo kwa wenzie, jamaa anaupiga mkubwa sana.
Mwaka fulani hapo nyuma Bayern walituwekea mdomoni kabisa tumchukue lakini tuka-opt kwenda na Arturo Vidal, tuli fail sana kwa kweli.
Thiago ni mtu na nusu.